Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Fukayosi, Bagamoyo

Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Fukayosi, Bagamoyo

Viwanja Promo Tz

New Member
Joined
Sep 7, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Karibu kwenye mradi wetu mpya uliopo BAGAMOYO, FUKAYOSI, Mradi huu upo umbali wa 2km kutoka Bagamoyo-Msata road.
MRADI HUU UKO FULL SURVEYED✅✅
Mradi unafikika Kwa urahisi mno kwakua ipo barabara inayokuleta hadi site.
Bei ya 1 SQM ni 3,800 tu kwa viwanja vya Makazi na 4,500 Kwa viwanja vya makazi na Biashara , na viwanja vyetu vimepimwa na kupata Bicon kutoka wizarani.
Utakapolipia kiwanja utapata HATI YA WIZARA ndani ya miezi mitatu tu, Viwanja ni vichache sana wahi Mapemaa...
NB: Viwanja vilivyo na maandishi ya CR ni Viwanja vya Makazi na Biashara
Karibu ofisini kwetu Ubungo external, Mshikamano street.
Pia unaweza kuwasiliana nasi kupitia namba hizo hapo chini

Call or WhatsApp 0698 718 260.

InShot_20240924_073314652.jpg
 
Back
Top Bottom