Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha

Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha

zwenge ndaba

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
2,037
Reaction score
3,598
Viwanja vipo kibaha kwa mfipa,karibia na chuo kipya Cha uongozi,vimebaki viwili kila kiwanja kina square meter 400.
Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu.
Umbali km 1 na nusu toka morogoro road,
Panafaa kujenga hostel au kwa ajili ya makazi.
Umeme na maji vipo jirani.
Tayari Kuna walioanza ujenzi kwenye viwanja vya pembeni
Mawasiliano: 0762976169

IMG_20220819_170707.jpg
IMG_20220819_170213.jpg
 
Back
Top Bottom