Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kigamboni

Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kigamboni

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Habari za wakati huu,

Kwa wale wanaohitaji kununua Viwanja,Mashamba na Nyumba Katika wilaya ya Kigamboni kwa Gharama nafuu wakati ndio huu:

  1. Viwanja vyenye ukubwa tofauti vipo MBUTU,GEZAULOLE,DEGE,CHEKA,MWONGOZO,KIMBIJI,PEMBA MNAZI etc Bei ni kama ifuatavyo:
    1. Mbutu,Kuanzia TZS Mili 3.5 ukubwa kuanzia mita 17kwa 20 na kuendelea
    2. Gezaulole Kuanzia TZS Mili 8 Ukubwa kuanzia Mita 20 kwa 20 na kuendelea
    3. Dege Kuanzia Mil 6 Ukubwa mita 17 kwa 20
    4. Cheka,Kimbiji,Pemba Mnazi kuanzia TZS Milion 4 ukubwa kuanzia mita 20 kwa 20
    5. Nyumba Mbili kwenye eneo la ukubwa wa MITA 40 kwa 30 zenye wapangaji kwa gharama ya TZS Milioni 75 ipo Gezaulole Jirani na Excel Schools
    6. Nyumba Moja ndani ya eneo la ukubwa mita 10 kwa 13 ipo jirani na shule ya Excel kwa Gharama ya TZS Milioni 9.5
  2. Unaweza Pia kuweka oda kwa kuzingatia Bei yako,ukubwa unaotaka pamoja na eneo ili tukutafutie kwa gharama nafuu kabisa
Mawasilano:0710323060 au Email:masokotz@yahoo.com

Uzi huu ni endelevu.
 

Attachments

Nini kinafanya bei zitofautiane sana baina ya eneo moja na lingine ikiwa ukubwa kiwanja ni ule ule?
 
Nini kinafanya bei zitofautiane sana baina ya eneo moja na lingine ikiwa ukubwa kiwanja ni ule ule?
Kuna vilivyopimwa,kuna vilivyoka katikati ya makazi ya watu-Built Up area na miundo mbinu.Na pia Bei ya anayeuza kiwanja nayo inahusika.Bei bado zina maongezi. Karibu sana.
 
Karibu Kigamboni,Ujipatie ardhi na na nyumba kwa bei nafuu kabisa
 
Ni wakati wa kumiiliki viwanja kwa gharama nafuu.Kigamboni ni future GEM.Amua sasa kuwekeza huku
 
Viwanja bado vipi na vingine vinaongezeka.Tuwasiliane sasa upate fursa ya kumiliki kiwanja katika eneo bora kabisa.Kigamboni
 
Iwapo unahitaji Vyumba vya kupanga,fremu za biashara,chumba na Magari pia vinapatikana
 
Iwapo unahitaji Vyumba vya kupanga,fremu za biashara,chumba na Magari pia vinapatikana
naweza pata kiwanja ungindoni ambacho kimekatwa sehemu ya kiwanja kingine incase tu mtu ametokea anashida ameamua kukikata kiwanja chake .
 
Back
Top Bottom