Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 479
- 727
Habari za majukumu wanazengo
Mada inajieleza, viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Nyegezi-Mwanza(viwanja vipo karibu na beach kama Samanene, Avash, jembe ni jembe, wag hill)
Viwanja vinafaa kwa makazi, hostel, beach etc
Barabara, umeme na huduma za kijamii zinafikika bila shida yoyote.
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu mwenye nacho hakumaliza process ktk halmashauri ya jiji akawa amefariki kinauzwa mil 32.
Vyote havina mgogoro wowote na viwanja viko karibu na ziwa mita 120 kutoka ziwani upepo ni mwanana 24hrs
Karibu tuwasiliane 0767911491 mimi nasimama kama dalali pia nipo tayari kumuunganisha kwa mwenye eneo kwa atayekuwa interested.
Karibuni
Ntaatach picha
Mada inajieleza, viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Nyegezi-Mwanza(viwanja vipo karibu na beach kama Samanene, Avash, jembe ni jembe, wag hill)
Viwanja vinafaa kwa makazi, hostel, beach etc
Barabara, umeme na huduma za kijamii zinafikika bila shida yoyote.
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu mwenye nacho hakumaliza process ktk halmashauri ya jiji akawa amefariki kinauzwa mil 32.
Vyote havina mgogoro wowote na viwanja viko karibu na ziwa mita 120 kutoka ziwani upepo ni mwanana 24hrs
Karibu tuwasiliane 0767911491 mimi nasimama kama dalali pia nipo tayari kumuunganisha kwa mwenye eneo kwa atayekuwa interested.
Karibuni
Ntaatach picha


