Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari za leo?
Kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa futi 50X80,umbali ni kama dakika 25 kutembea kwa mguu toka kituo cha daladala Pongwe,dakika 8 kwa bodaboda(malipo ni elfu moja)
Mnunuzi ataandikisha mkataba wa ununuzi mbele ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa na mashahidi wa munuzi na muuzaji,na anatakiwa kulipa 10% ya manunuzi kwa serikali ya kijiji.
Maji na umeme vipo karibu na viwanja vilipo.
BEI ni milioni 2 na laki tano kwa kila kiwanja.
Mawasiliano: 0787140432 au ni PM.
Kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa futi 50X80,umbali ni kama dakika 25 kutembea kwa mguu toka kituo cha daladala Pongwe,dakika 8 kwa bodaboda(malipo ni elfu moja)
Mnunuzi ataandikisha mkataba wa ununuzi mbele ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa na mashahidi wa munuzi na muuzaji,na anatakiwa kulipa 10% ya manunuzi kwa serikali ya kijiji.
Maji na umeme vipo karibu na viwanja vilipo.
BEI ni milioni 2 na laki tano kwa kila kiwanja.
Mawasiliano: 0787140432 au ni PM.