Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
- Thread starter
- #21
Siujui huo msikiti ulipo,ila ni dk 12 kutembea kwa mguu toka kituo cha Afya Pongwe au S/M Ziwani.Viwanja bado vipo? Vipo umbali gani na mskiti wa salaf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siujui huo msikiti ulipo,ila ni dk 12 kutembea kwa mguu toka kituo cha Afya Pongwe au S/M Ziwani.Viwanja bado vipo? Vipo umbali gani na mskiti wa salaf?
Eneo linaitwa Mkurumuzi na sio Kange,ila asante kwa taarifa tumekusikia.Emilias, viwanja vya Kange nyuma ya stend ni vya Mombasa packers. Huyu Mwenyekiti wa kilichokuwa kijiji cha Kichangani alifanya makosa kuvigawa kwa wananchi wakati right of occupancy ya Mombasa Packers haijawahi kuwa revoked. Unasemaje juu ya hilo. Kuna magorofa yamejengwa, kuna siku yatabomolewa. Ukimwambia Rajabu aende kwa Lukuvi aombe kutengua umilikiwa Mombasa Packers hataki! Fanya uchunguzi kama unaweza.
OK, Mkurumuzi might be OK, but not Kange nyuma ya stend. Unamfahamu Imu?/Ibrahim?Eneo linaitwa Mkurumuzi na sio Kange,ila asante kwa taarifa tumekusikia.
Mkuu mm simjui hata balozi wangu wangu wa mtaa,sorry!OK, Mkurumuzi might be OK, but not Kange nyuma ya stend. Unamfahamu Imu?/Ibrahim?
Viwanja vyote vya Kange vilipimwa na huyo Imu! If you have a plot you ought to know himMkuu mm simjui hata balozi wangu wangu wa mtaa,sorry!
Ilala namba ya mtu bila kukufahamu nampa nani, hapana! Give me your number then I'll call you! and if you are residing in Tanga we can meetNipe nambake huyo Imu
Niko burdaaniKM 22 toka Mapango ya Amboni.
Naona utakuwa umeridhika sasa.
Nahisi huo msikiti ndio ule kwa mzee Kibwana Ngwira,kama ndio viwanja vipo si zaidi ya 2km.Viwanja bado vipo? Vipo umbali gani na mskiti wa salaf?