Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Wewe ni dalali au kampuni
Mkuu ni yote au eneo flan la nzuguni?no 2. sishauri mtu akawekeze. ni story ndefu ngoja niishie hapo
nimezungumzia MKONZE iwe chidachi, michese, chisichili kote huko sishauri.Mkuu ni yote au eneo flan la nzuguni?
Tusaidie na wengine maana weekend ijayo nina jambo langu kule.
Ooh sawa mkuu, nilizingatia no. 2 ya kwenye picha nikasahau mbili ya mpangilio wa author.nimezungumzia MKONZE iwe chidachi, michese, chisichili kote huko sishauri.
kuhusu nzuguni maeneo mengi ya kurithi unaweza kuuziwa na mtu mmoja kumbe familia haikuafikiana mwisho mkaishia kuburuzana mahakamani.
Kwanini hushauri Chidachi? Michese?nimezungumzia MKONZE iwe chidachi, michese, chisichili kote huko sishauri.
kuhusu nzuguni maeneo mengi ya kurithi unaweza kuuziwa na mtu mmoja kumbe familia haikuafikiana mwisho mkaishia kuburuzana mahakamani.
mkuu kanunue tu, huenda niliangukia pua.Kwanini hushauri Chidachi? Michese?
Mbona sehemu hizo kuna maeneo yalikuwa pori, yakapimwa na Jiji? Yakauzwa? Shida zipo kipengele gani? Msaada please.
Ilikuwaje?mkuu kanunue tu, huenda niliangukia pua.
pendelea kudadisi wenyeji kwanza
Bei,gani,ukubwa ....Mapainduzi ni wapi,kukoje....!Msichana!Anayetaka mapinduzi B aje nimuuzie kilichopimwa na hati juu
Munanso,ulaile Yani...hujaainisha Mapinduzi ,ipo upande nje ya mji ,ndio wapi dada. ...hebu fungukaSquare meter 605, nje ya mji ila ni viwanja tulivyouziwa na mkurugenzi wa jiji, vimepimwa na vyote viliisha na mradi ukafungwa. Bei ni 7m.
Ungetoa elimu nini kilikusibu ungesaidia wengi sanamkuu kanunue tu, huenda niliangukia pua.
pendelea kudadisi wenyeji kwanza
nimezungumzia MKONZE iwe chidachi, michese, chisichili kote huko sishauri.
kuhusu nzuguni maeneo mengi ya kurithi unaweza kuuziwa na mtu mmoja kumbe familia haikuafikiana mwisho mkaishia kuburuzana mahakamani.
πππ wengi walitaka niwaambie yaliyomo ila niliishia tu kwakutoa tahadhali haya sasa Doubleg Malafyale Geniustin muulizeni huyu.Limenikuta jambo viwanja viwili michese [emoji30] niliuziwa na mzawa lakini.
Daaah kazi kweli kweli πππ ebu tuambie nn alikufanya mzawa?πππ wengi walitaka niwaambie yaliyomo ila niliishia tu kwakutoa tahadhali haya sasa Doubleg Malafyale Geniustin muulizeni huyu.