Plot4Sale Viwanja vipya Jijini Dodoma

Plot4Sale Viwanja vipya Jijini Dodoma

nimezungumzia MKONZE iwe chidachi, michese, chisichili kote huko sishauri.

kuhusu nzuguni maeneo mengi ya kurithi unaweza kuuziwa na mtu mmoja kumbe familia haikuafikiana mwisho mkaishia kuburuzana mahakamani.

Mkuu pole sana kwa dhana uliyonayo na pengine wewe ni Mwenyeji kwasasa Viwanja vyote tunavyoyangaza sisi vimepimwa na vina Hati zake hakuna maneno unayosema wewe kwenye comments zako,kama uliwahi kupigwa ni kwasababu ya kutaka vitu vya bei rahisi ila sio kununua Viwanja vilivyopimwa na kuwa na documents zote.

Mkonze,Nzuguni na maneno mengine ambayo umedai ni ya Urithi nikuhakikishie kabla ya kununua unatakiwa kujiridhisha ukikuta kuna shida haununui maana sisi tunanunua Ardhi iloyopimwa na tuna Wanasheria kabisa kwasababu hizo naomba niseme umepotosha watu wenye nia ya kununua maeneo hayo.

Kufata taratibu ni kuzuri sana na kufafanua uwe na amani na kitu ulichonunu chochote sio lazima ikawa Ardhi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wengi walitaka niwaambie yaliyomo ila niliishia tu kwakutoa tahadhali haya sasa Doubleg Malafyale Geniustin muulizeni huyu.
Mi nilinunua kiwanja Michese, ni vile viwanja vilivyokuwa vinauzwa na Jiji. Na lilikuwa eneo la pori(pale katikati kabla hujafika Mchese kijijini.
 
Back
Top Bottom