Plot4Sale Viwanja viwili vinauzwa Mwanza

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
479
Reaction score
727
Habari za majukumu wanazengo
mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza

Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.

Cha pili hakina hati sababu mwenye nacho hakumaliza process ktk halmashauri ya jiji akawa amefariki kinauzwa mil 32.

Vyote havina mgogoro wowote na viwanja viko karibu na ziwa mita 120 kutoka ziwani upepo ni mwanana 24hrs
Karibu tuwasiliane 0767911491 mimi nasimama kama dalali japo.

Ntaatach picha
 

Attachments

  • 20240114_165008.jpg
    1.6 MB · Views: 20
  • 20240114_165008.jpg
    1.6 MB · Views: 20
  • 20240114_164939.jpg
    1.3 MB · Views: 14
Mwenye contact na mmiliki wa kiwanja hiki huku Nyegezi aniunganishe naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…