Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinasoma jina LA MTU na unaponunua tu siku hiyo hiyo tunapeleka mkataba kubadilisha jina linasoma LA kwako na process ya hati kubwa inaanza na kufuatilia tutakusaidia mpaka upate hati yako kwa kuwa kwa sasa vina invoice tu ( Offa)Vina hati zinazosoma jina la mtu,au vimepimwa tu halafu hati ni juu yake aliyenunua kufuatilia?
Asante kwa mawazo yako piaAnaenunua kiwanja Dodoma kama sio mgogo anakua hana akili kabisa. Povu ruxa
Usipate wasiwasi mkuu makao makuu hayahamishwi tena kwani hukusikiliza hotuba ya Mh Rais kuwa ataendeleza aliyoyaacha Mh aliemtangulia?Labda kwa sasa wakati hatuna uhakika kama makao bado yataendelea kuwa Dom. Hata wale waliokopa viwanja kule Chato hatamalizia madeni yao.waliowahi kujenga hotel kule Chato,watapiga hela za mwisho tarehe 26.03.baada ya hapo tunaanza kuulizia fursa kulw visiwani
Trust me,fursa zitahamia Zenj at least ndani ya miaka hii 4 ijayo.Usipate wasiwasi mkuu makao makuu hayahamishwi tena kwani hukusikiliza hotuba ya Mh Rais kuwa ataendeleza aliyoyaacha Mh aliemtangulia?
Umeme na maj vpo mkuuVIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO 0621048817 VIWANJA VIMEPIMWA
Vina nyaraka za aina gani mkuu?VIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO 0621048817 VIWANJA VIMEPIMWA
Inafikirisha..Labda kwa sasa wakati hatuna uhakika kama makao bado yataendelea kuwa Dom. Hata wale waliokopa viwanja kule Chato hatamalizia madeni yao.waliowahi kujenga hotel kule Chato,watapiga hela za mwisho tarehe 26.03.baada ya hapo tunaanza kuulizia fursa kulw visiwani
Umeme na Maji bado boss, ili vitawekwa soon Viwanja vimepakana na mradi was barabara ya mzunguko ring roadUmeme na maj vpo mkuu
Hati ndogo tu za kulipia invoice (offer) ukitaka hati kubwa ni ndani ya mwezi mmoja tu unapata mkuu tutakushulikiaVina nyaraka za aina gani mkuu?
Ukitaka sehemu yenye umeme na Maji kwenye makazi ya watu uwe na budget ya kuanzia 4 ml mpaka 8mlUmeme na Maji bado boss, ili vitawekwa soon Viwanja vimepakana na mradi was barabara ya mzunguko ring road