Plot4Sale Viwanja vya makazi kwa bei nafuu

STUKA UJANJA NI ARDHI

KAMILISHA NDOO YAKO

FORODHANI SMART CITY

UNAMILIKI ARDHI YAKO KWA BEI NAFUU


TUWASILIANE 0754553380

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
STUKA UJANJA NI ARDHI

KAMILISHA NDOO YAKO

FORODHANI SMART CITY

UNAMILIKI ARDHI YAKO KWA BEI NAFUU


TUWASILIANE 0754553380

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Weekend Nyingine TENA
Muda mzuri kabisa wa kutembelea na kukagua maeneo sahihi ya Makazi

Sie tupo zetu Forodhani City hapa kisemvule
Viwanja vizuri tambarare na hewa Mwanana kabisa


Viwanja vya Makazi kwa bei nafuu kabisa

1,300,000/= hapa Forodhani City unawekeza katika ardhi


Tuwasiliane 0754553380View attachment 2629973

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Fika offisni Kwetu KISEMVULE
Tupigie simu 0754553380
Utapokelewa na utafika offisini kwetu utapewa utaratibu wa mradi na utapelekwa kutembelea mradi na utarudishwa offisni BUREE
Your browser is not able to display this video.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hivi nani aliwapa hawa matapeli utaratibu wa kuuza viwanja kwa futi?
Mkuu karibu Forodhani umiliki eneo lako

Kwa kipimo unachotaka wewe kama futi, mita, sqm au kipimo cha miguu..


Bei za viwanja [emoji116]
[emoji117]1,300,000/ = futi 50×40 (mita 15/12) Sqm 200
[emoji117] 2,600,000/ = futi 80×50 (mita 24/15) Sqm 400.
[emoji117]5, 200,000/ = futi 100×80 (mita 30/24) Sqm 800.
[emoji117]7, 800,000/= futi 150 X 80 (mita 45/24) Sqm 1200.
[emoji117]10, 400,000/= Futi 200 X 80 (mita 60/24) Sqm 1600

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mtu asiyejua vipimo akiambiwa ft 40x50 atajua kiwanja ni kikubwa kumbe ni kidogo hata nyumba ya maana haiingii
Mfano wa nyumba iliyojengwa kwa sqm 200
Ila kama unaona sqm 200 kwa ujenzi wako ni eneo dogo unanuna sqm 400 au sqm 800


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
My concern ni upangaji mji, hapo mnatengeneza uswahili, nyumba zitakuwa karibu karibu sana.
Kwanini msifuate muongozo wa serikali?
Mkuu naomba week mmoja uje kutembelea mradi kwanza utafurahi sanaa


Maeneo ni ya makazi ya mji umepangwa na viwanja vimekatwa kulingana na Ramani ya plan miji

Na viwanja vipo kwa mtaa upo mtaa wa viwanja vidogo upo mtaa wa viwanja vikubwa

Ni wewe tu ukiamua kukaa mtaa wa kishua yanii jirani yako RCO, DC , N.K[emoji13]

Karibu sana Forodhani City

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
mlichoniuziii kueka majina ya Zanzibar kwenye hiyo mitaa.
 
mlichojiuziii kueka majina ya Zanzibar kwenye hiyo mitaa.
Ni kweli mkuu baadhi ya street majina ni ya maeneo ya Zanzibar

Japo sio mradi wote una majina hayo
Yapo Majina ya mitaa kama KONDE, DANDO n.k

Muda ni sasa njoo uwekeze mkuu
Maeneo ya wazi katika mradi bado yapo na utapata mtaa or block zima lenye jina lako au jina linalokupendeza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Taarifa nzuri na bei ni murua hasa kipengele cha kulipa kidogo kidogo kinatoa mwanya.Asanteni sana
 
My concern ni upangaji mji, hapo mnatengeneza uswahili, nyumba zitakuwa karibu karibu sana.
Kwanini msifuate muongozo wa serikali?
Uko sahihi, Kwa mujibu wa sheria ya Mipango miji ya mwaka 2018, hatuna kiwanja cha Square meter 200. Hapo kinachozalishwa ni Planned Squatter,

Wazo lao la Mradi ni zuri lakini wajitahidi kuzingatia Sheria na Miongozo ya Upangaji Miji.
 
Halafu nani amewafundisha kutumia futi katika vipimo vya kiwanja. Yaani unapima kwa futi kweli?

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona tumefafanua hapo

Mita kadhaa ni sawa na futi hizo ni sawa na sqm

Kama upendi kutamka futi tamka mitaa au sqm..

Karibu Forodhani City Mkuu
Utapima eneo kwa kipimo chako na utatamka inavyokupendeza wewe sqm, mita, ekar n.k

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…