Plot4Sale Viwanja vya makazi kwa bei nafuu

Plot4Sale Viwanja vya makazi kwa bei nafuu

mkuu ivi kuna viwanja chini ya sqm 400 vinaweza pimwa kweli yaani foot 40 kwa 50 ni sqm 180 yaan 15M kwa 12M sheria inasemaje kupima viwanja vya sqm 180viwa
mkuu ivi kuna viwanja chini ya sqm 400 vinaweza pimwa kweli yaani foot 40 kwa 50 ni sqm 180 yaan 15M kwa 12M sheria inasemaje kupima viwanja vya sqm 180
Viwanja vyetu ni sqm 200, sqm 400, sqm 800 ,sqm 1600

Unalipia taratibu kwa uwezo wako

Kama umeambiwa sqm 200 sheria inavikataa kupima
Karibu Uje uchukue vinavyokubaliwa na sheria
 
ukiona mradi una foot 40 kwa 50 ambazo ni sqm 180 yaan chini ua 400 kuna mashaka apo ivyo viwanja haviwezi kupimwa
Kwanini ujipe mashaka wakati vipo visivyokuwa na mashaka?? Sqm unazotaka zipo Karibu mkuu
 
Forodhani Smart City

MRADI WA VIWANJA BADO VIPO

TUWASILIANE 0754553380
 

Attachments

  • 500423dd3d684a4eab8ac12dc7ee324d.jpg
    500423dd3d684a4eab8ac12dc7ee324d.jpg
    492.6 KB · Views: 3
VIWANJA VYA MAKAZI

MJI WENYE MPANGILIO WA KISASA
 

Attachments

  • 787d967c3c5c404d98c4b5296477ab4f.jpg
    787d967c3c5c404d98c4b5296477ab4f.jpg
    33 KB · Views: 3
Back
Top Bottom