.......................Viwatil ifu...............???

.......................Viwatil ifu...............???

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimesikia hili neno sana atika hotuba ya waziri wa kilimo, ushirika na chakula, nidadavulieni wakuu
 
King'asti nashukuru sana

Amavubi, samahani naona nimekuingiza chaka. Viautilifu ni Pesticides kama ulivyoambiwa hapo juu, herbicides ni kwa ajili ya kuua magugu.

Mtambuzi baba yangu, hilo sio tusi. Sema tu wakati wewe ukisoma lilikuwa halina umuhimu maana tabia nchi ilikuwa haijaanza kutunyoosha.
 
Last edited by a moderator:
shukrani zaidi sana, bado nilikua sijaathirika kwa lile la awali
Amavubi, samahani naona nimekuingiza chaka. Viautilifu ni Pesticides kama ulivyoambiwa hapo juu, herbicides ni kwa ajili ya kuua magugu.

Mtambuzi baba yangu, hilo sio tusi. Sema tu wakati wewe ukisoma lilikuwa halina umuhimu maana tabia nchi ilikuwa haijaanza kutunyoosha.
 
Huenda sisi wenyewe ndio tuna-kigumisha[QUOTE=pmwasyoke;4492875]Kumbe Kiswahili ni kigumu![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom