Viza ya kwenda Australia

Viza ya kwenda Australia

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,319
Habari zenu wadau.

Kichwa cha habari hapo juu kinahusika, nauliza kuhusu taratibu za kupata kibali cha kwenda Australia wa ajili ya mtu anayetaka kwenda kupumzika likizo au kutalii.

Taarifa za awali nilizonazo ni kuwa ubalozi wao kwa ukanda huu upo Nairobi, Kenya. Sasa kwa waliopo nchini Tanzania hatua za awali ni zipi na vigezo pia ni vipi?

Natanguliza shukurani.
 
Kaka ukitaka kuomba visa hakuna haja ya wewe kusumbuka ubalozini.

Kwa kuwa unataka kwenda kutalii ni simple sana...tafuta hoteli ya bei nzuri unayotaka kufikia site nzuri ya hotel ni booking.com hapo utakuta hoteli zote na bei yake.

Chagua unayoipenda then fanya mawasiliano nao, waambie utakaa hotelini kwao kwa siku utakazo. Watakuomba docs zako watakufanyia visa na ata ukitaka booking ya ndege watakufanyia.

Pindi utapofika kule utawakuta airport wanakupokea, wewe una pesa hakuna haja husumbuke mteja ni mfalme watakufanyia kila kitu. Wao ndio watakuwa sponsor wako.

Hata unapotaka kwenda shopping china au dubai kama kwa mfano unaenda kununua laptops,j ua duka gani linauza ukifanya mawasiliano nao ata duka kwa kuwa wana leseni wanauwezo wa kukusponsor visa.

Nadhani umeelewa, +971504374387 Dubai!
 
Kaka ukitaka kuomba visa hakuna haja ya wewe kusumbuka ubalozini...kwakuwa unataka kwenda kutalii ni simple sana...tafuta hoteli ya bei nzuri unayotaka kufikia site nzuri ya hotel ni booking.com hapo utakuta hoteli zote na bei yake..chagua unayoipenda then fanya mawasiliano nao...waambie utakaa hotelini kwao kwa siku utakazo...watakuomba docs zako watakufanyia visa na ata ukitaka booking ya ndege watakufanyia...pindi utapofika kule utawakuta airport wanakupokea...wewe una pesa hakuna haja husumbuke mteja ni mfalme watakufanyia kila kitu...wao ndio watakuwa sponsor wako..ata unapotaka kwenda shopping china au dubai kama kwa mfano unaenda kununua laptops,jua duka gani linauza ukifanya mawasiliano nao ata duka kwa kuwa wana leseni wanauwezo wa kukusponsor visa...nadhani umeelewa +971504374387 dubai

nuf said
 
Aksante sana ..mambo ndio yapo hivyo simple sana,siwezikuweka mfano wa fomu ambayo hoteli itakutumia ili uijaze wakutengenezee visa maana sina option ya kuiweka hapa
 
Kaka ukitaka kuomba visa hakuna haja ya wewe kusumbuka ubalozini...kwakuwa unataka kwenda kutalii ni simple sana...tafuta hoteli ya bei nzuri unayotaka kufikia site nzuri ya hotel ni booking.com hapo utakuta hoteli zote na bei yake..chagua unayoipenda then fanya mawasiliano nao...waambie utakaa hotelini kwao kwa siku utakazo...watakuomba docs zako watakufanyia visa na ata ukitaka booking ya ndege watakufanyia...pindi utapofika kule utawakuta airport wanakupokea...wewe una pesa hakuna haja husumbuke mteja ni mfalme watakufanyia kila kitu...wao ndio watakuwa sponsor wako..ata unapotaka kwenda shopping china au dubai kama kwa mfano unaenda kununua laptops,jua duka gani linauza ukifanya mawasiliano nao ata duka kwa kuwa wana leseni wanauwezo wa kukusponsor visa...nadhani umeelewa +971504374387 dubai

Ahsante kaka kwa ushauri wako. Huyu jamaa aliyeniomba nimuulizie utaratibu sijui kama atapendelea utaratibu huo, maana ni mtu wa protocal sana na ni mtu mzima kiasi.

Hakuna njia nyingine?
 
kaka ktk visa kitu kikubwa ni ufadhili(sponsorship)kwa wenzetu marekani na EU countries ukiwa na passport ya huko wala huangaiki kuomba visa ya nchi unayokwenda..visa utagongewa pale unapofika kwenye airport ya nchi unayokwenda..kwa mfano muingereza mwenye passport ya UK akitaka kuja hapa dubai hana haja ya kuangaika kuuliza visa visa atakata pindi atakapofika hapa dubai airport..
Kwa sisi wenye hizi passport za kawaida ni lazima uombe visa kuna kupata na kukosa..njia nzuri ambayo ni rahisi na ya uhakika ni hiyo niliyokwambia,kwa kuwa hiyo visa itaombwa na wazawa wa huko ni 100% kuipata bila usumbufu...njia nyingine ni kama una rafiki/ndugu kwenye nchi unayoenda mwenye visa ya makazi ya kule (residential visa)huyu naye ana uwezo wa kuwa sponsor wako akakuombea visa kwa kule nayo hii kupata ni 100% njia nyingine ni ndege unayotumia kwenda kule mfano ukitumia shirika la ndege la emirates kwa kuwa ili ni la dubai wanaweza kuku sponsor visa ya dubai nayo hii kupata ni 100% japo kwa australia sina uhakika kama airline inaweza kuku sponsor...njia nyingine ni ile unayoiulizia wewe na ndio maana wengi wanalalamika kuwa wamenyimwa visa kwa kuwa huna sponsor njia hii ni wewe ku contact moja kwa moja na ubalozi iwe online au one on one..waweza kupata lakini sio 100% njia hii watakiwa uwe na sababu kama aliyonayo huyo...anaweza kamilisha mambo yote wanayotaka ata kuwaonyesha kuwa ana pesa za kutalii at the end wanaweza mpa au kumnyima kwa kuwa hana sponsor...namba ya ubalozi wa australia kenya ni+2542045034 watakupa maelezo ....kama kweli anakwenda kupumzika ataitaji hoteli na kwa wenzetu wanajua biashara na kuthamini sana mteja..hoteli ikijua atakaa kule kwa siku ata 5 lazima wachangamkie sana hiyo tender..watamsponsor visa
 
Ahsante sana mkuu, nitaambia huyu mtu ajaribu option ulizonipa hapo juu.

Ahsante tena in advance...

kaka ktk visa kitu kikubwa ni ufadhili(sponsorship)kwa wenzetu marekani na EU countries ukiwa na passport ya huko wala huangaiki kuomba visa ya nchi unayokwenda..visa utagongewa pale unapofika kwenye airport ya nchi unayokwenda..kwa mfano muingereza mwenye passport ya UK akitaka kuja hapa dubai hana haja ya kuangaika kuuliza visa visa atakata pindi atakapofika hapa dubai airport..
Kwa sisi wenye hizi passport za kawaida ni lazima uombe visa kuna kupata na kukosa..njia nzuri ambayo ni rahisi na ya uhakika ni hiyo niliyokwambia,kwa kuwa hiyo visa itaombwa na wazawa wa huko ni 100% kuipata bila usumbufu...njia nyingine ni kama una rafiki/ndugu kwenye nchi unayoenda mwenye visa ya makazi ya kule (residential visa)huyu naye ana uwezo wa kuwa sponsor wako akakuombea visa kwa kule nayo hii kupata ni 100% njia nyingine ni ndege unayotumia kwenda kule mfano ukitumia shirika la ndege la emirates kwa kuwa ili ni la dubai wanaweza kuku sponsor visa ya dubai nayo hii kupata ni 100% japo kwa australia sina uhakika kama airline inaweza kuku sponsor...njia nyingine ni ile unayoiulizia wewe na ndio maana wengi wanalalamika kuwa wamenyimwa visa kwa kuwa huna sponsor njia hii ni wewe ku contact moja kwa moja na ubalozi iwe online au one on one..waweza kupata lakini sio 100% njia hii watakiwa uwe na sababu kama aliyonayo huyo...anaweza kamilisha mambo yote wanayotaka ata kuwaonyesha kuwa ana pesa za kutalii at the end wanaweza mpa au kumnyima kwa kuwa hana sponsor...namba ya ubalozi wa australia kenya ni+2542045034 watakupa maelezo ....kama kweli anakwenda kupumzika ataitaji hoteli na kwa wenzetu wanajua biashara na kuthamini sana mteja..hoteli ikijua atakaa kule kwa siku ata 5 lazima wachangamkie sana hiyo tender..watamsponsor visa
 
lucky sabasaba;

Maelezo yako yamewashawishi watu waone kama vile mtu kutoka nchi kama Tanzania kupata visa ya kutembelea nchi za USA, Australia au UK ni jambo rahisi kabisa.

Kumbe sivyo hata kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kaka kwa ushauri wako. Huyu jamaa aliyenionmba nimuulizie utaratibu sijui kama atapendelea utaratibu huo, maana ni mtu wa protocal sana na ni mtu mzima kiasi.

Hakuna njia nyingine?

Dah nilijua mzee Mphamvu wenda kula raha Melbourne au Sydney...hongera zake alokutuma.
 
Last edited by a moderator:
Maelezo yako yamewashawishi watu waone kama vile mtu kutoka nchi kama Tanzania kupata visa ya kutembelea nchi za USA, Australia au UK ni jambo rahisi kabisa. Kumbe sivyo hata kidogo!
Hujuhi utaratibu ndio maana unaona kazi..hakuna kazi kama wajua procedures..ukienda ubalozini ndio utaona kazi lakini ukitumia local sponsors hakuna kazi yoyote ndio maana unaona wanigeria wanakwenda hizo nchi ulizotaja mda wowote..they know procedures..nimefanya kazi ya kuunganisha visa kwa zaidi ya miaka 6..wewe una pesa ya kwenda kutalii kwa nini ukose viza??watu wanapata visa ya canada ambayo ni ngumu zaidi..au bado unafikiri njia ya kuomba visa ni ubalozini tu..siyo hivyo mambo yalibadirika..tumia local sponsors..hotels..airlines..shule..timu za mpira..hospitali nk..ila kama huna $$$ hiyo ni story nyingine
 
Hujuhi utaratibu ndio maana unaona kazi..hakuna kazi kama wajua procedures..ukienda ubalozini ndio utaona kazi lakini ukitumia local sponsors hakuna kazi yoyote ndio maana unaona wanigeria wanakwenda hizo nchi ulizotaja mda wowote..they know procedures..nimefanya kazi ya kuunganisha visa kwa zaidi ya miaka 6..wewe una pesa ya kwenda kutalii kwa nini ukose viza??watu wanapata visa ya canada ambayo ni ngumu zaidi..
Mh.... This is exaggeration. Visa za USA, UK, Australia na Canada bado ni ngumu!
 
Ulishanyimwa mara ngapi???tumia plan B ...use local sponsor bwana macho mdiliko...kama hii ya local sponsor ukikosa jua kuna tatizo...kutoka lagos nigeria kwenda london uwa kuna ndege tano kwa siku na zote zinajaa..unachobisha nikipi ??local sponsor akikuombea visa inakuwa na nguvu kuliko wewe ukienda kuomba ubalozini..alafu kumbuka kitu kingine ktk kila nchi kuna wastani wa watu wanaopewa visa kwa Tanzania kwa mfano wastani ni mdogo kuliko kenya na uganda kwa visa ya usa kwa mwezi...kila nchi inasheria zake lakini hii ni vizingiti utavyovikuta ubalozini sio katika njia nyingine nilizoandika hapo juu...bwana macho mdiligo kwa sensa ya mwaka jana kulikuwa na wanigeria 3.5ml USA(fungua google )hao ni wanaoishi huko na wana residential visa hawa ndio wana act kama local sponsors kwa wanigeria ambao kila siku wanakwenda kule
 
Kaka ukitaka kuomba visa hakuna haja ya wewe kusumbuka ubalozini...kwakuwa unataka kwenda kutalii ni simple sana...tafuta hoteli ya bei nzuri unayotaka kufikia site nzuri ya hotel ni booking.com hapo utakuta hoteli zote na bei yake..chagua unayoipenda then fanya mawasiliano nao...waambie utakaa hotelini kwao kwa siku utakazo...watakuomba docs zako watakufanyia visa na ata ukitaka booking ya ndege watakufanyia...pindi utapofika kule utawakuta airport wanakupokea...wewe una pesa hakuna haja husumbuke mteja ni mfalme watakufanyia kila kitu...wao ndio watakuwa sponsor wako..ata unapotaka kwenda shopping china au dubai kama kwa mfano unaenda kununua laptops,jua duka gani linauza ukifanya mawasiliano nao ata duka kwa kuwa wana leseni wanauwezo wa kukusponsor visa...nadhani umeelewa +971504374387 dubai
Hii ina apply hata kwa Canada na Marekani
 
Kaka! Mimi nnashida na VISA ya kwenda NIGERIA. Nifanyaje? Nipo serious na hilo, nahitaji msaada wako.
 
Kaka, na mm nnashida sna ya kwenda nigeria, viza napataje? naomba mwangaza kaka.
 
Ulishanyimwa mara ngapi???tumia plan B ...use local sponsor bwana macho mdiliko...kama hii ya local sponsor ukikosa jua kuna tatizo...kutoka lagos nigeria kwenda london uwa kuna ndege tano kwa siku na zote zinajaa..unachobisha nikipi ??local sponsor akikuombea visa inakuwa na nguvu kuliko wewe ukienda kuomba ubalozini..alafu kumbuka kitu kingine ktk kila nchi kuna wastani wa watu wanaopewa visa kwa Tanzania kwa mfano wastani ni mdogo kuliko kenya na uganda kwa visa ya usa kwa mwezi...kila nchi inasheria zake lakini hii ni vizingiti utavyovikuta ubalozini sio katika njia nyingine nilizoandika hapo juu...bwana macho mdiligo kwa sensa ya mwaka jana kulikuwa na wanigeria 3.5ml USA(fungua google )hao ni wanaoishi huko na wana residential visa hawa ndio wana act kama local sponsors kwa wanigeria ambao kila siku wanakwenda kule

Mkuu kama upo hii bado ina work todate??
 
Back
Top Bottom