Angalizo.
Wajukuu na watoto wetu baadae wakija kupata akili wakaona rasilimali za ardhi yao kama bandari si yao tena, ardhi si yao tena, mbuga za wanyama hawana umili nazo tena lazima moto uwake.
Katika kila uwekezaji lazima tuzingatie 50/50 yaani wakija kukuta wana asilimia 50 ya umiliki hapo wataona fahari kwani maana halisi ya kuzaliwa nchini itakuepo.
Lakini wakikuta hawamiliki chochote na wamesoma, nawahakikishieni hawatoishia mitandaoni kwani kila stage unayoiona leo itakua imepita tayari.
Wao wata ingia msituni na kupanga uasi dhidi ya serikali dhalimu na hawatoona mwekezaji kama dhalimu wataona serikali ndio dhalimu kwa kuingia mikataba mibovu na hapo wataanza kwa kuwaumiza wawekezaji, viongozi direct, na hapo itakua too late.
Ili isijekutokea tujitahidi tujadili mambo haya kwa weledi mkubwa kwani impact yake baadae 100 ambayo tutakua hatupo itakua mbaya sana.
Kiongozi ambae leo yupo bungeni, au serikalini 100 miaka hiyo hatokuepo mjue hivo anatakiwa aandae future njema ya wajukuu zake wasigeuke watumwa na waasi.
Wajukuu na watoto wetu baadae wakija kupata akili wakaona rasilimali za ardhi yao kama bandari si yao tena, ardhi si yao tena, mbuga za wanyama hawana umili nazo tena lazima moto uwake.
Katika kila uwekezaji lazima tuzingatie 50/50 yaani wakija kukuta wana asilimia 50 ya umiliki hapo wataona fahari kwani maana halisi ya kuzaliwa nchini itakuepo.
Lakini wakikuta hawamiliki chochote na wamesoma, nawahakikishieni hawatoishia mitandaoni kwani kila stage unayoiona leo itakua imepita tayari.
Wao wata ingia msituni na kupanga uasi dhidi ya serikali dhalimu na hawatoona mwekezaji kama dhalimu wataona serikali ndio dhalimu kwa kuingia mikataba mibovu na hapo wataanza kwa kuwaumiza wawekezaji, viongozi direct, na hapo itakua too late.
Ili isijekutokea tujitahidi tujadili mambo haya kwa weledi mkubwa kwani impact yake baadae 100 ambayo tutakua hatupo itakua mbaya sana.
Kiongozi ambae leo yupo bungeni, au serikalini 100 miaka hiyo hatokuepo mjue hivo anatakiwa aandae future njema ya wajukuu zake wasigeuke watumwa na waasi.