Vizazi vijavyo vikikuta rasilimali si zao vitaanzisha uasi na kuingia msituni kuipinga serikali

NISIVYO MPENDA MTAWALA WA DUBAI NA GENGE LAKE, NYIE ACHANE TU.
 
Misitu nayo watakuta ishauzwa. Labda kpindi icho kutakuwa na misitu ya online. Watatumiana Link
Na hata ikiwepo hakuna kijana atakaeingia msituni ikiwa vijana wenyewe ndio hawa watoto wa sasa ambao hawawezi kula mpaka waangalie Cocomelon.
Vijana wa kiume wanaojimithilisha na dada zao kimavazi mpaka vitendo.

Vijana wa baadae watarudi rasmi katika ukoloni na kuwa watumwa. Watakuwa watumwa wa kisasa walioshikwa akili, maarifa mpaka maamuzi.

Wakuikomboa hii nchi ilipaswa iwe sisi lakini na sisi tushajitolea kuwa keyboard warriors. Maneno mengi mtandaoni ila tukisikia kuna panya road tunajificha chini ya uvungu wa kitanda.
 
Wacha waliopo WAUZE RASLIMALI ZOTE Wapige Mapesa inawezekana Wataenda nazo MBINGUNI
 
Nonsense.

"Nchi haiuzwi lakini mnafanya mageuzi makubwa"

Hayo mageuzi makubwa ya kuwamilikisha wageni rasilimali zetu milele yana maana gani kwa vizazi vijavyo?

Taifa halina kiongozi, watanganyika tuna hasara sana.
 
Yaani washindwe vijana wa Sasa wanaoona hizo Mali zao zikiuzwa waje waingie msituni vijana ambao watasimuliwa na babu zao[emoji848]?

Mwandishi haupo serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…