chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Mlisema hawezi leo umejuaje, tulieni mnyolewe, Babu yenu Biden anaongea Kama anamafuaPutin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!