Vladimir Putin

Sahv inasemekana ndio tajiri namba moja duniani akiwa na utajiri wa zaidi ya 200+ Billions US dollars
 
mkuu rudia kusoma tena hii post, $200 mbona hata Mwajuma Ndalandefu anazo?
Ha ha ha haaaaaaaaaaa, Sky Eclat: nilimaanisha 200+ billion US dollars[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
story haina nyama za kutosha ingawa ulianza ktk mtiririko mzuri...
umetuacha wasomaji tunananing"inia.....
 
Wale wote wanaotamani Anerica iwe shaken wanampenda Putin kwa kuwa wanaamini kuwa Russia hairishwi na America -mkorofi wa mbabe wako shujaa wako
 
Nimeona Picha akiwa Nachingwea na Samora Michael pamoja na makamanda wa TPDF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…