Vladimir Putin

Vladimir Putin

Sahv inasemekana ndio tajiri namba moja duniani akiwa na utajiri wa zaidi ya 200+ Billions US dollars
 
mkuu rudia kusoma tena hii post, $200 mbona hata Mwajuma Ndalandefu anazo?
Ha ha ha haaaaaaaaaaa, Sky Eclat: nilimaanisha 200+ billion US dollars[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
story haina nyama za kutosha ingawa ulianza ktk mtiririko mzuri...
umetuacha wasomaji tunananing"inia.....
 
Wale wote wanaotamani Anerica iwe shaken wanampenda Putin kwa kuwa wanaamini kuwa Russia hairishwi na America -mkorofi wa mbabe wako shujaa wako
 
Nimeona Picha akiwa Nachingwea na Samora Michael pamoja na makamanda wa TPDF
 
Back
Top Bottom