VLOG: Jinsi vipimo vya nucleic acid vya virusi vya Corona vinavyochukuliwa China

Yoyo Zhou

Senior Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
126
Reaction score
215

Takwimu rasmi zilizotolewa hivi karibuni zinaonesha kuwa watu milioni 90.41 nchini China wamefanyiwa vipimo vya nucleic acid vya virusi vya Corona, jambo ambalo limefuatiliwa na jamii ya kimataifa.

Je, China inafanya vipi vipimo hivyo? Kwa mfano wa mji mkuu Beijing, tunaangalia kwa undani. Wikiendi iliyopita, eneo la makazi analoishi Yo liliwafanyia wakazi vipimo vya nucleic acid ili kuangalia kama wana virusi vya Corona au hawana. Je, majibu ya vipimo vya Yo yakoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…