Uchaguzi 2020 VoA, BBC na Al Jazeera watangaza habari za Membe juu ya Uanachama wake na nia yake ya kugombea Urais kwa kupitia tiketi ya CCM

Kumbe na Africanews wametangaza
 
Hivi ni akili gani hyo raisi na mwenyekiti aliebeba matumaini ya Watanzania na akiwa na ungwe moja tu apingwe ndani ya chama. Haikuwahi kutokea popote.
 
Iko wapi demokrasia inayohubiriwa huko? Kumbe Membe ana nguvu kiasi hiki?

Ukitaka demokrasia itafute kwa mungu,
Huku kungine ni mfano tu.
Lakini ukumbuke hata huko kwa mungu bado mjanja kuwahi, na ndio maana kwa ibrahimu kuna mdogo alipatiwa urithi na mungu akabariki wakati urithi ulikuwa wa kijana mkubwa.
 
Iko wapi demokrasia inayohubiriwa huko? Kumbe Membe ana nguvu kiasi hiki?
Subili siku ya mkutano mkuu uone kama hata atapata nafasibya kuingia ndani ya ukumbi,
Huyo alishafukuzwa hivyo hakuna mtu wa kuhangaika nae
 
Huyo amefukuzwa tayari..NEC inaenda kubariki kufukuzwa kwake..
 
Kuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
Jeshi liingilie kati?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…