kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Acheni maigizo bhana, Membe anataka fomu...mpeni Membe fomuJembe ilo, Membe atasubiri sana na km ilivyo confidential zetu 2025 anaeingia lazma awe Bakwata ndio kijiti kinavyosema. Apo asubiri mpaka 2035 labdaView attachment 1486467
Kwahiyo mko tayar kuvunja katiba yenu wenyewe?? Huo uoga unatokana na nn hasa?Kwa hii kipindi haiwezekan, final say ya jiwe kwa sasa ni mamvi sasa unajua muktasar wa mamvi na membe..haitotokea kitu km iko kamwe wakina karamajay watakimbia akipewa kijiti huyu. Haitotokea
Toka hapo nje ya nyumba yako then angalia angani juu mawinguni then piga kelele kwa nguvu ukisema MIMI NI BOYAAAAA NISIYEJUA CHOCHOTE KHS POLITICS ZA US.CCM sio NEC...wao wanatoa form Kwa wanachama wao wenye sifa..ata USA wenyewe pamoja na madudu ya Trump..hakuna Republican yeyote aliyechukua form kugombea..same thing Kwa kipindi cha Obama's second term...wakifanya CCM inakua nongwa!!???
Lumumba tunacheza sebene la ushindi.Nawe mkata mauno wa Lumumba unatoa fomu?
😂😂😂😂😂😂 Kwa sababu mnajua fika kwamba dikteta has nothing in his upstairs as compared to Membe. Atapigwa MWELEKA MKUBWA arudi chato akafuge sungura. 😜😜😜😜😜
Mnamuogopa sana huyu mwamba wa Kusini.Hata akitangazwa na CNN au Fox news hatutampa form
Tena ubabe wa kishambaMkuu huoni kwamba huo ni ubabe?
fomu zimeisha na iliprintiwa moja tu.Habari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.
Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?
Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
CCM hawawezi tishwa na nyie. Ni wababe toshaHabari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.
Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?
Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
Hata akitangazwa na CNN au Fox news hatutampa form
Mngekuwa mnajali maslahi ya taifa mngefanya kinachotakiwa kufanywaYaani munamuogopa sana Membe ndo maana mnafanya ubabe. Mnajua wenye mlivyomchoka mwenyekiti ila ni waogo na wanafiki msiojali maslahi ya taifa!
Ila Magufuli nae sasa angempisha tu Membe. Kuwa na rais asiejua kidhungu kwa miaka kumi, dah[emoji848]
Tunaipataje na mmeng'oa ccctv camera?
Nadhani kelele ulizopiga wewe zimetosha ... what a stupid advice!!.. shame I am in a same platform with you.Toka hapo nje ya nyumba yako then angalia angani juu mawinguni then piga kelele kwa nguvu ukisema MIMI NI BOYAAAAA NISIYEJUA CHOCHOTE KHS POLITICS ZA US.
Hakusema jeshi,alisema,watu 12 wanataka urais itavunja mshikamano wa chama na taifa letu,anawaambia wanaccm hasa makatibu kwamba wapo wanaangalia tu,anawahimiza waelekeze majeshi yao huko.Kuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
Hofu imewajaa. Wanaogopa sana tena sana. Kama wanajiamini watoe fomu watu wagombee tuone. Wanajigamba kwamba wana demokrasia lakini hamna kitu. Kama wanabisha watoe ruhusa watu wachukue fomu tuoneNilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?
Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao