VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Muda mfupi uliopita Ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
 
Mda mfupi uliopita ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
umeumizwa sehemu gani gentleman au just chuki bianfsi tu :NoGodNo:
 
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Mda mfupi uliopita ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
Sio VOA tu ata DW wasitishe mkataba nao wanazingua. Siku ya jumamosi kulikuwa na mjadala kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa. UFM wakaingia mitini wakaweka mziki. UCHAWA mbaya sana.
 
Mda mfupi uliopita ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
Mimi mwenyewe nashanga kwanini hizo redio za ki.ataifa zipo kimya bila shaka ni kazi ya abdul bushir ...hiyo tabia ya kukata vipindi imekubuu kipindi cha samia ...je samia alisemaje kuhusu jpm ...kuwa yeye ataruhusu uhuru wa habari ila kwa sasa hali ni mbava kuliko awamu zote
 
Hizi mainstream media hasa za Magharibi zina unafiki sana

Hao VoA mbona hawatangazi mauaji yanayofanywa na Marekani na washirika wake

By the way siungi mkono kinachoendelea Tanzania
 
Kam
Hizi mainstream media hasa za Magharibi zina unafiki sana

Hao VoA mbona hawatangazi mauaji yanayofanywa na Marekani na washirika wake

K
By the way siungi mkono kinachoendelea Taanzania
Kama hawatangazi umezijuaje
 
Mda mfupi uliopita ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
hao UFM kiongozi wa nchi ni mwenzao katika imani
 
Back
Top Bottom