much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Sikutoa hata mia ndo maana siwapangii Cha kuandika Wala kutangazaWewe umetoa ngapi? acha kushabikia kila kinacho katiza mbele yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutoa hata mia ndo maana siwapangii Cha kuandika Wala kutangazaWewe umetoa ngapi? acha kushabikia kila kinacho katiza mbele yako
Hivi mtu unajisikiaje kujitoa ufahamu kiasi hiki? Kisa nini, mkate?inashangaza sana karne ya sayansi na technolojia mtua anaishi kwa chuki binafsi tu![]()
kwamba kwa chuki binafsi zako tu na sababu zisizo na mashiko unahamasisha uhasama eti watu wa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa visifanye kazi pamoja 🤣Hivi mtu unajisikiaje kujitoa ufahamu kiasi hiki? Kisa nini, mkate?
Mbona watu tunakula vizuri tu bila kulazimika kujitoa akili?
Haswaahao UFM kiongozi wa nchi ni mwenzao katika imani
Mtaliban utamjua tuUlitoka bei gani kuanzisha ufm?
Hata kipindi cha DPW walikuwa wanafanya hivyo hivyo especially slaa na mwambukusi wakiwa wanahojiwaMda mfupi uliopita ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
Ni kulisongesha na tovuti, huku hawawezi kutukatia https://www.dw.com/sw/sauti-zetuSio VOA tu ata DW wasitishe mkataba nao wanazingua. Siku ya jumamosi kulikuwa na mjadala kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa. UFM wakaingia mitini wakaweka mziki. UCHAWA mbaya sana.
Hahahahahaaa, umetisha.kwamba kwa chuki binafsi zako tu na sababu zisizo na mashiko unahamasisha uhasama eti watu wa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa visifanye kazi pamoja 🤣
vichekesho vya karne hivi 🤣
ni sawa tu na chuki binafsi za chairman Mbowe kwa vyama vingine vya siasa vya upinzani. Chuki binafsi ya aina ile huchochewa na ulevi tu 🐒
Kabisa hapa ndiyo sehemu sahihi.Ni kulisongesha na tovuti, huku hawawezi kutukatia https://www.dw.com/sw/sauti-zetu
Ni dharau kubwa kwa watanzania, wanatuona hatuna akiliHata kipindi cha DPW walikuwa wanafanya hivyo hivyo especially slaa na mwambukusi wakiwa wanahojiwa