VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

inashangaza sana karne ya sayansi na technolojia mtua anaishi kwa chuki binafsi tu :pedroP:
Hivi mtu unajisikiaje kujitoa ufahamu kiasi hiki? Kisa nini, mkate?

Mbona watu tunakula vizuri tu bila kulazimika kujitoa akili?
 
Hivi mtu unajisikiaje kujitoa ufahamu kiasi hiki? Kisa nini, mkate?

Mbona watu tunakula vizuri tu bila kulazimika kujitoa akili?
kwamba kwa chuki binafsi zako tu na sababu zisizo na mashiko unahamasisha uhasama eti watu wa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa visifanye kazi pamoja 🤣

vichekesho vya karne hivi 🤣


ni sawa tu na chuki binafsi za chairman Mbowe kwa vyama vingine vya siasa vya upinzani. Chuki binafsi ya aina ile huchochewa na ulevi tu 🐒
 
Mda mfupi uliopita ufm wamekatisha taarifa ya habari kutoka VOA walipoanza kutangaza habari za Tanzania kutoheshimu haki za binadamu. Huu ni ujinga uliopitiliza. CCM na serikali yake wanajitahidi kuficha maovu yao yasijulikane kwa wananchi hasa wale wajinga ambao ndio wengi na mtaji wao. Huwezi kuficha mwanga gizani
Hata kipindi cha DPW walikuwa wanafanya hivyo hivyo especially slaa na mwambukusi wakiwa wanahojiwa
 
jana nimewashanģaa sana UFM wanakata matangazo kiurahisi tu! Nà mimi baada ya kuondoa na mimi nikaondoka uchawa ni mbaya saana! Mpaka kwenye vyombò vya habari
 
kwamba kwa chuki binafsi zako tu na sababu zisizo na mashiko unahamasisha uhasama eti watu wa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa visifanye kazi pamoja 🤣

vichekesho vya karne hivi 🤣


ni sawa tu na chuki binafsi za chairman Mbowe kwa vyama vingine vya siasa vya upinzani. Chuki binafsi ya aina ile huchochewa na ulevi tu 🐒
Hahahahahaaa, umetisha.
 
Back
Top Bottom