VOA wanyimeni UFM hali ya kurusha matangazo yenu, ni machawa

inashangaza sana karne ya sayansi na technolojia mtua anaishi kwa chuki binafsi tu
Hivi mtu unajisikiaje kujitoa ufahamu kiasi hiki? Kisa nini, mkate?

Mbona watu tunakula vizuri tu bila kulazimika kujitoa akili?
 
Hivi mtu unajisikiaje kujitoa ufahamu kiasi hiki? Kisa nini, mkate?

Mbona watu tunakula vizuri tu bila kulazimika kujitoa akili?
kwamba kwa chuki binafsi zako tu na sababu zisizo na mashiko unahamasisha uhasama eti watu wa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa visifanye kazi pamoja 🤣

vichekesho vya karne hivi 🤣


ni sawa tu na chuki binafsi za chairman Mbowe kwa vyama vingine vya siasa vya upinzani. Chuki binafsi ya aina ile huchochewa na ulevi tu 🐒
 
Hata kipindi cha DPW walikuwa wanafanya hivyo hivyo especially slaa na mwambukusi wakiwa wanahojiwa
 
jana nimewashanģaa sana UFM wanakata matangazo kiurahisi tu! Nà mimi baada ya kuondoa na mimi nikaondoka uchawa ni mbaya saana! Mpaka kwenye vyombò vya habari
 
Hahahahahaaa, umetisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…