Vocha ya bure Tigo

Vocha ya bure Tigo

Agent-13

Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
33
Reaction score
29
Inawezekana muda huu uko mahala unatamani kuongeza salio lakini mchana ulisha-wipe Tigopesa/M-Pesa yote na duka la Mangi ameshafunga.

I got you my nigga... hii hapa vocha ya buku mtandao wa Tigo

529267639419399

Imagine ni watu wangapi wamepita huu uzi wakidhani ni utani

You are welcome

20200104_230205.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
20200104_230205.jpeg
20200104_230205.jpeg
20200104_230205.jpeg
20200104_230205.jpeg
20200104_230205.jpeg
 
Alafu tunauliza kwenye kampuni hiyo vocha imetumika na namba ipi ya simu tunadaka namba zako fasta
Inawezekana muda huu uko mahala unatamani kuongeza salio lakini mchana ulisha-wipe tigopesa/mpesa yote na duka la Mangi ameshafunga.
I got you my nigha... hii hapa vocha ya buku mtandao wa Tigo


529267639419399




Imagine ni watu wangapi wamepita huu uzi wakidhani ni utani,

You are welcome [emoji4]View attachment 1312613

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu ukishadaka hizo namba unafanyia nini??

Nyie ndio ambao mkikuta hela njiani hamuokoti mnaogopa ati ni "hela za majini".
Nakushauri kesho ukiwa mahala unapata lunch mlipie mtu usiyemjua hata soda tu... au kama watumia usafiri wa umma mlipie abiria mwenzio nauli.
Mwenyezi Mungu atafanya jambo kubwa kwenye maisha yako.

Lets take care of each other and the world will be a better place..
Alafu tunauliza kwenye kampuni hiyo vocha imetumika na namba ipi ya simu tunadaka namba zako fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu nimeikosa!!!
Kesho weka Voda tunatumia simu kadi mbili...tuwekee ya Voda tulipe madeni yetu ya nipige tafu.
 
Back
Top Bottom