Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Kifupi mtaan vocha zimepanda 10% katika kununua na sio kwenye label. NIjuavyo vocha na pesa taslim ni kitu kile kile tofaut na bidhaa nyingine. Kwamba natumia elfu 2000 taslim kubadilishana na elf 2000 digital.
nilitarajia kama watu wa bei wameridhia bas vocha isomeke ni ya 2200.
Kwani nini kimebadirika tena kwa wauzaji wa ndan ya dar?
Najilaum kutokuwa kati ya watoa maamuzi Tanzania. Hii nchi anybody can manage it for his own good
nilitarajia kama watu wa bei wameridhia bas vocha isomeke ni ya 2200.
Kwani nini kimebadirika tena kwa wauzaji wa ndan ya dar?
Najilaum kutokuwa kati ya watoa maamuzi Tanzania. Hii nchi anybody can manage it for his own good