Vocha ya sh 1000 kuuziwa 1200 inatafsiri nini!

Vocha ya sh 1000 kuuziwa 1200 inatafsiri nini!

Kifupi mtaan vocha zimepanda 10% katika kununua na sio kwenye label. NIjuavyo vocha na pesa taslim ni kitu kile kile tofaut na bidhaa nyingine. Kwamba natumia elfu 2000 taslim kubadilishana na elf 2000 digital.
nilitarajia kama watu wa bei wameridhia bas vocha isomeke ni ya 2200.
Kwani nini kimebadirika tena kwa wauzaji wa ndan ya dar?
Najilaum kutokuwa kati ya watoa maamuzi Tanzania. Hii nchi anybody can manage it for his own good
Hadi leo mnanunua vocha za kukwangua? Mtandao wako hauna zile mpesa na tigo pesa? Mkikaza hivyo hawatouza bei za kijinga. Hata kama huna hela nenda na buku zako mwambie wakala akuwekee mambo yasiwe mengi
 
Hali ni tete, ukienda dukani na hela kamili utarudi nyumbani patupu. Juzi nilienda dukani kununua sabuni nikakuta bei imepanda kwa elfu 2. Nilijua mwenye duka ananipiga, nikaenda duka lingine nikakuta hivyo hivyo.
 
Ni kweli bei ya jumla vocha zimepanda kutoka sh.950 hadi sh.985 na sh.470 hadi sh.490,hebu niambie kwa muuzaji wa rejareja auze sh.ngapi?
 
Inawezekana bei za jumla zimepanda pia Sasa muuzaji wa rejareja atauzaje.nilipita sehemu kama mbili tatu hivi ni kweli baadhi ya maeneo vocha ni 550 au 1100 nk
 
Ni kweli bei ya jumla vocha zimepanda kutoka sh.950 hadi sh.985 na sh.470 hadi sh.490,hebu niambie kwa muuzaji wa rejareja auze sh.ngapi?
tatizo tunajadiri bei ya vocha kama bidhaa nyingine.
Kiuhalisia kama wanaamua kupandisha bei sawa lakin isomeke kwenye vocha kama unavyolipia. Vocha ni hela. Sasa unapotoa 2200 ukapewa vocha ya buku si sawa hata kwa logic.
Hebu jiulize kwan unapokwangua ukaingiza system inatambua 2200 au 2000? Kampuni katika hili ndo wezi. Tatizo ni kampun yaani wameamua kushirikiana na serkali kutupiga kwa sababu wamepandisha bei kwa wanunuaji wa jumla.
 
Back
Top Bottom