Vodacom 4G inasababisha simu kupata joto sana

Vodacom 4G inasababisha simu kupata joto sana

Joined
Nov 8, 2017
Posts
59
Reaction score
63
Mtandao wa vodacom 4G unapotumia intaneti inasababisha simu kupata joto kali sana lisilokuwa la kawaida
Hii hali nimegundua muda nikajua tatizo ni simu yangu kumbe sio Tatizo ni mtandao wa 4G wa Vodacom

Itakuwa vizuri wakirekebisha hili tatizo. Halotel natumia ila ipo vizuri 4G yake haisababishi simu kupata joto kali

VIPI wadau kuna mtu kapatwa na tatizo kama hili?
 
Mtandao wa vodacom 4G unapotumia intaneti inasababisha simu kupata joto kali sana lisilokuwa la kawaida
Hii hali nimegundua muda nikajua tatizo ni simu yangu kumbe sio Tatizo ni mtandao wa 4G wa Vodacom

Itakuwa vizuri wakirekebisha hili tatizo. Halotel natumia ila ipo vizuri 4G yake haisababishi simu kupata joto kali

VIPI wadau kuna mtu kapatwa na tatizo kama hili?
Kuna mambo mengi hapo kama
1. Signal zipo chini za Voda kupelekea simu kila saa ina search network.

2. Speed ya Voda ni kubwa una background tasks nyingi hivyo kupelekea kudownload vitu vingi kwa mpigo
 
Mtandao wa vodacom 4G unapotumia intaneti inasababisha simu kupata joto kali sana lisilokuwa la kawaida
Hii hali nimegundua muda nikajua tatizo ni simu yangu kumbe sio Tatizo ni mtandao wa 4G wa Vodacom

Itakuwa vizuri wakirekebisha hili tatizo. Halotel natumia ila ipo vizuri 4G yake haisababishi simu kupata joto kali

VIPI wadau kuna mtu kapatwa na tatizo kama hili?
Ungesema unatumia simu gani mkuu, Ili tukushauri kama utafute simu nyingine au lah, usichore conclusion bila data ambazo ni valid.
 
Back
Top Bottom