Vodacom Tanzania
Tafadhali, nime subscribe kifurushi cha sms 10,000 kwa sababu ninahitaji kutuma sms kwa watu wengi..ajabu nikituma msg chache tu mtandao unablock.
Naambiwa mpaka niombe huduma ya kutuma bulk sms. Niliponunua msg zote hizo hapakuwa na msg ya alert kuwa nahitaji kuapply tena bulk sms.
Naomba kama kuna mhusika afanyie kazi namba yangu iungwe bulk sms mara. Vinginevyo nitaanza kulalamika.
L
eoleo nataka kutumia sms nilizolipia.
Namba yangu ni 0764222272