natamani wasitoe pikipiki hata moja
hivi hiii kero ya bodaboda hamuioni?
zimekuwa nyiiingi mno sasa
i wish ushuru uongezwe zipunguzwe
Wadau,
Kila siku nasikia tu shinda pikipiki tano na shs Milioni mbili...binafsi ningetegemea nione majina ya washindi kama tulivyp zoea kuyaona kwenye promosheni nyingine yakiwa waziwazi kwenye TV au pengine radio (asubuhi/jioni) watu wengi wakifuatilia.
Binafsi sijaona wala sijasikia mtu aliyeshinda...au ndio wanatangaza kwenye magazeti yenye nakala laki mbili (yanayo ishia mijini) wakati watanzania wapo Milioni 40?
Vodacom - kazi ni kwako...