Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Inawezekanaje huduma za;
1. Kupiga simu zisiwepi
2. Internet isiwepo
3. Sms ziwepo
4. Mpesa hakuna nk?
Kwanini msiboreshe kwa zamu?
Mnajua kuwa simu;
1. Huokoa maisha?
2. Internet ni ofisi za watu?
Je mnafidia walaji kitu gani au mtaishia kuomba radhi?
Wahuni nyie
(Tutaboresha mifumo yetu leo kuanzia saa 5 usiku-11 alfajiri.Huduma za intaneti,kupiga simu,SMS,kununua vifurushi,benki na kubeti hazitopatikana. Tunaomba radhi kwa usumbufu.)
1. Kupiga simu zisiwepi
2. Internet isiwepo
3. Sms ziwepo
4. Mpesa hakuna nk?
Kwanini msiboreshe kwa zamu?
Mnajua kuwa simu;
1. Huokoa maisha?
2. Internet ni ofisi za watu?
Je mnafidia walaji kitu gani au mtaishia kuomba radhi?
Wahuni nyie
(Tutaboresha mifumo yetu leo kuanzia saa 5 usiku-11 alfajiri.Huduma za intaneti,kupiga simu,SMS,kununua vifurushi,benki na kubeti hazitopatikana. Tunaomba radhi kwa usumbufu.)