Saivi natumia airtel na halotelHama mtandao..
Kama mm tuSaivi natumia airtel na halotel
Ila huwa sitaki kusikia kuhusu tigo?!!πππKama mm tu
Bahati nzuri nina mitandao yote na yote ina vifurushi lkn li voda lina ubora wake
Unamaanisha nini??Halotel na airtel ni sawa na kobe tu
Kwanini π€£π€£Ila huwa sitaki kusikia kuhusu tigo?!!πππ
Sa una complain nini...?Bahati nzuri nina mitandao yote na yote ina vifurushi lkn li voda lina ubora wake