Vodacom hiki mnachokifanya kwa wateja wenu ni uhuni wa hali ya juu sana. Jirekebisheni haraka iwezekanavyo

Vodacom hiki mnachokifanya kwa wateja wenu ni uhuni wa hali ya juu sana. Jirekebisheni haraka iwezekanavyo

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni.

Sina Deni songesha Wala nipige tafu.

Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.

By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na maana kwamba hizo sekunde wakati natumia kujiunga wamenikata sh Mia mbili au sh Mia.

Nikijaribu kupiga huduma Kwa wateja nakuta wame incapacitate Ile segment ya kuongea Na mhudumu. Yani utapiga simu halafu katika zile option za kubonyeza kunakuwa Hakuna option ya kuongea Na mhudumu.

Nashindwa kuamini kama Voda wanaweza kuwa wababaishaji kiasi hiki.

Najiuliza Ni kwamba Voda wanajua kuhusu uhuni Huu au Kuna watu wachache WA kitengo cha IT Voda ndio wanacheza Huu mchezo? Wanakata hizo Mia mbili Mia mbili for unsuspecting victims?

Vodacom Vodacom Vodacom Huu ni uhuni ambao hauwezi kukubalika.
 
Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni.

Sina Deni songesha Wala nipige tafu.

Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.

By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na maana kwamba hizo sekunde wakati natumia kujiunga wamenikata sh Mia mbili au sh Mia.

Nikijaribu kupiga huduma Kwa wateja nakuta wame incapacitate Ile segment ya kuongea Na mhudumu. Yani utapiga simu halafu katika zile option za kubonyeza kunakuwa Hakuna option ya kuongea Na mhudumu.

Nashindwa kuamini kama Voda wanaweza kuwa wababaishaji kiasi hiki.

Najiuliza Ni kwamba Voda wanajua kuhusu uhuni Huu au Kuna watu wachache WA kitengo cha IT Voda ndio wanacheza Huu mchezo? Wanakata hizo Mia mbili Mia mbili for unsuspecting victims?

Vodacom Vodacom Vodacom Huu ni uhuni ambao hauwezi kukubalika.
Mtandao upo mmoja Tz?
 
Inasikitisha sana...

Kuna muda Salio linatosha ila unaambiwa hauna Salio...
 
Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni.

Sina Deni songesha Wala nipige tafu.

Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.

By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na maana kwamba hizo sekunde wakati natumia kujiunga wamenikata sh Mia mbili au sh Mia.

Nikijaribu kupiga huduma Kwa wateja nakuta wame incapacitate Ile segment ya kuongea Na mhudumu. Yani utapiga simu halafu katika zile option za kubonyeza kunakuwa Hakuna option ya kuongea Na mhudumu.

Nashindwa kuamini kama Voda wanaweza kuwa wababaishaji kiasi hiki.

Najiuliza Ni kwamba Voda wanajua kuhusu uhuni Huu au Kuna watu wachache WA kitengo cha IT Voda ndio wanacheza Huu mchezo? Wanakata hizo Mia mbili Mia mbili for unsuspecting victims?

Vodacom Vodacom Vodacom Huu ni uhuni ambao hauwezi kukubalika.
We kila siku unalia voda this voda that mitandao iko mingapi nje ya voda? Hama acha kulia lia kama paka yatima
 
Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni.

Sina Deni songesha Wala nipige tafu.

Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.

By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na maana kwamba hizo sekunde wakati natumia kujiunga wamenikata sh Mia mbili au sh Mia.

Nikijaribu kupiga huduma Kwa wateja nakuta wame incapacitate Ile segment ya kuongea Na mhudumu. Yani utapiga simu halafu katika zile option za kubonyeza kunakuwa Hakuna option ya kuongea Na mhudumu.

Nashindwa kuamini kama Voda wanaweza kuwa wababaishaji kiasi hiki.

Najiuliza Ni kwamba Voda wanajua kuhusu uhuni Huu au Kuna watu wachache WA kitengo cha IT Voda ndio wanacheza Huu mchezo? Wanakata hizo Mia mbili Mia mbili for unsuspecting victims?

Vodacom Vodacom Vodacom Huu ni uhuni ambao hauwezi kukubalika.
Pole,wewe bado unatumia voda mimi nilishaiweka hata namba yake siikumbuki kwa sasa
 
Nadhani Voda wana kipengele cha kusitisha matumizi ya salio la kawaida bila bando. Hata kama una baki ya salio, hawafyeki kama umeweka OFF
 
Aisee nahamia Zantel
Hao mbwa wanachoudhi ni kuwa hupati access ya kuongea na mhudumu direct! Of all the bullshit this should be the finest ever!

Unapiga customer care just to hear some recorded shitie skits! Essence ya customer service ni nini kama hutaongea na mwakilishi wao umpe concerns zako?
 
Wakomeshe mkuu.. hawakujui hao yaani wachukue pesa kizembe namna hiyo
 
We kila siku unalia voda this voda that mitandao iko mingapi nje ya voda? Hama acha kulia lia kama paka yatima
Kama namuona vile hela ikishakatwa

images (79).jpeg
 
Hao mbwa wanachoudhi ni kuwa hupati access ya kuongea na mhudumu direct! Of all the bullshit this should be the finest ever!

Unapiga customer care just to hear some recorded shitie skits! Essence ya customer service ni nini kama hutaongea na mwakilishi wao umpe concerns zako?
Wapi Zantel au Voda
 
Back
Top Bottom