LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni.
Sina Deni songesha Wala nipige tafu.
Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.
By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na maana kwamba hizo sekunde wakati natumia kujiunga wamenikata sh Mia mbili au sh Mia.
Nikijaribu kupiga huduma Kwa wateja nakuta wame incapacitate Ile segment ya kuongea Na mhudumu. Yani utapiga simu halafu katika zile option za kubonyeza kunakuwa Hakuna option ya kuongea Na mhudumu.
Nashindwa kuamini kama Voda wanaweza kuwa wababaishaji kiasi hiki.
Najiuliza Ni kwamba Voda wanajua kuhusu uhuni Huu au Kuna watu wachache WA kitengo cha IT Voda ndio wanacheza Huu mchezo? Wanakata hizo Mia mbili Mia mbili for unsuspecting victims?
Vodacom Vodacom Vodacom Huu ni uhuni ambao hauwezi kukubalika.
Sina Deni songesha Wala nipige tafu.
Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.
By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na maana kwamba hizo sekunde wakati natumia kujiunga wamenikata sh Mia mbili au sh Mia.
Nikijaribu kupiga huduma Kwa wateja nakuta wame incapacitate Ile segment ya kuongea Na mhudumu. Yani utapiga simu halafu katika zile option za kubonyeza kunakuwa Hakuna option ya kuongea Na mhudumu.
Nashindwa kuamini kama Voda wanaweza kuwa wababaishaji kiasi hiki.
Najiuliza Ni kwamba Voda wanajua kuhusu uhuni Huu au Kuna watu wachache WA kitengo cha IT Voda ndio wanacheza Huu mchezo? Wanakata hizo Mia mbili Mia mbili for unsuspecting victims?
Vodacom Vodacom Vodacom Huu ni uhuni ambao hauwezi kukubalika.