Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Sawa ngoja nizingatieMbona kila nikiwapigia nawapata hewani.
Relax, punguza jazba af uwapigie tena, fuata maelekezo
Vodacom Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ngoja nizingatieMbona kila nikiwapigia nawapata hewani.
Relax, punguza jazba af uwapigie tena, fuata maelekezo
Vodacom Tanzania
Wahuni hao
Sana tu sijui shida niniVoda imeharibika ni wangese sana
Waelekeze wewe unayejua lkn bado huduma zao ni mbovu sana mm niliishaachana nao sababu mitandao ni mingihata 100 hio unaongea nao, ila lazima uwe unajua, asilimia kubwa hawajui
Vodacom hawana hiyo hudumaMbona kila nikiwapigia nawapata hewani.
Relax, punguza jazba af uwapigie tena, fuata maelekezo
Vodacom Tanzania
Jaribu, ukipiga chagua lugha ya kiingereza huko utakutana nao fasta...
Wakipokea ongea lugha yako pedwa kwa uhuru.
Mi nilifanikiwa jwa njia hiyo..
Inawezekana mwamba sio mvumilivu na hafuati maelekezoMbona kila nikiwapigia nawapata hewani.
Relax, punguza jazba af uwapigie tena, fuata maelekezo
Vodacom Tanzania
Huko whatsapp ni bot zimetengenezwa na unafuata maelekezo yake sio wewe umpe yakoJaribu whatsapp yao
0754100100