Vodacom, huu wema umeanza lini?

Vodacom, huu wema umeanza lini?

Ndio. Ghafla bin vuu Vodacom Tanzania wameanza kuonea huruma salio la kwenye simu. Zamani walikuwa wanalifyekelea mbali kabla ya kukuarifu kwamba bando limeisha; huku wakikuacha bila salio la kununulia bando lingine.
ni haki yako iyo ambayo ni lazima upewe sio wema voda ni wepuuuzi tu
 
Vodacom, huu wema umeanza lini?

Leo nimeona push menu za USSD, zikiniuliza na hatimaye kuniwezesha kujitoa kwenye matumizi ya salio kulipia huduma za mtandao wa intaneti kutoka kwenye salio la kawaida. Kwa hiyo kuanzia leo, hata bando la GB likikata, salio la kawaida lililopo halitaguswa. Mulikwina? Jambo hili lilitakiwa mlitekeleze miaka mingi iliyopita.


Washenzi kabisa hao, kuna wakati walikuwa wanakula kifurushi haraka ili wakakombe salio, sina hamu nao hata bure siwataki
 
Vodacom, huu wema umeanza lini?

Leo nimeona push menu za USSD, zikiniuliza na hatimaye kuniwezesha kujitoa kwenye matumizi ya salio kulipia huduma za mtandao wa intaneti kutoka kwenye salio la kawaida. Kwa hiyo kuanzia leo, hata bando la GB likikata, salio la kawaida lililopo halitaguswa. Mulikwina? Jambo hili lilitakiwa mlitekeleze miaka mingi iliyopita.

Wa kwanza kabisa kuleta hii walikua Airtel, mwaka jana ndo akaja voda hivi karibuni na tigo, Sema tigo usijidanganye.. Ukidhibiti tu basi wanakula salio maksudi kabisa na hautaweza kujiunga na kifurushi chochote kile hata kama una salio linaloendana na kifurushi husika...
 
Hivi tigo nao wanayo hii?
Ya tigo salio linakatwa kama kawa,,, Jana wamekula 2000 yangu nzima, Kutoa machungu ikanibidi niruke nao hewani na kuwatukana sana mpaka hasira zikaisha, kuamka asubuhi ya leo nakuta wamenitext niwape imei ya kifaa changu na location nilipo

Sijui wanataka za nini wangese hawa...
 
Ila bado hii mitandao kunatatzo, mfano unapo hamisha pesa kutoka benki kuja kwenye mpesa au t pesa af ukakosea ikaja kama muda wa maongez hamna msaada wowote wanaweza kukupa. Isipokuwa unapambana na hali yako, Mfano mim juz tu nlikuwa nahamisha laki5 kuja tigo pesa nikakosea ikaja kama muda wa maongez imekula kwangu mpaka Leo aisee[emoji24][emoji24]
 
Ila bado hii mitandao kunatatzo, mfano unapo hamisha pesa kutoka benki kuja kwenye mpesa au t pesa af ukakosea ikaja kama muda wa maongez hamna msaada wowote wanaweza kukupa. Isipokuwa unapambana na hali yako, Mfano mim juz tu nlikuwa nahamisha laki5 kuja tigo pesa nikakosea ikaja kama muda wa maongez imekula kwangu mpaka Leo aisee[emoji24][emoji24]

Kuhamisha fedha toka benki mpaka salio, inawezekana vipi?
 
Ila bado hii mitandao kunatatzo, mfano unapo hamisha pesa kutoka benki kuja kwenye mpesa au t pesa af ukakosea ikaja kama muda wa maongez hamna msaada wowote wanaweza kukupa. Isipokuwa unapambana na hali yako, Mfano mim juz tu nlikuwa nahamisha laki5 kuja tigo pesa nikakosea ikaja kama muda wa maongez imekula kwangu mpaka Leo aisee[emoji24][emoji24]
Kwahiyo mkuu saivi ni fulu kuongea, sms za kutosha, mtandaoni ndo usipime sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pole sana
 
Ya tigo salio linakatwa kama kawa,,, Jana wamekula 2000 yangu nzima, Kutoa machungu ikanibidi niruke nao hewani na kuwatukana sana mpaka hasira zikaisha, kuamka asubuhi ya leo nakuta wamenitext niwape imei ya kifaa changu na location nilipo

Sijui wanataka za nini wangese hawa...
Wanataka wakupe kazi tigo, maana kwa matusi uliyowatukana wakikupata polisi pananukia [emoji2][emoji2]
 
Kwahiyo mkuu saivi ni fulu kuongea, sms za kutosha, mtandaoni ndo usipime sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pole sana
Yaan ndugu zangu karbu wote kule tarime wanaotumia tigo nimewaunga vifurushi vya mwezi kila mmoja yaan ni ungese na cna namna na Dem wangu sasa anakula bando kila akikohoa cna jinsi
 

Kuhamisha fedha toka benki mpaka salio, inawezekana vipi?
Wew umeishatumia hiyo huduma au unaandka tu, ingia kwenye menyu yako ya sim banking Kisha tafuta topup utaelewa tu mim nmeandka nn
 
Ndio. Ghafla bin vuu Vodacom Tanzania wameanza kuonea huruma salio la kwenye simu. Zamani walikuwa wanalifyekelea mbali kabla ya kukuarifu kwamba bando limeisha; huku wakikuacha bila salio la kununulia bando lingine.
Halafu wakisha lifyeka ndo msg inakuja...washenzi sana hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom