Vodacom kubadili vifurushi vyake

Vodacom kubadili vifurushi vyake

Hakuna atakayebaki salama
Mimi nina line tatu Voda , Tigo , na Halotel . Voda nimekimbia mdau baada ya kutoa kifurushi cha WK buku 3 kwa Gb nikawa Tigo sasa nimerudisha majeshi yangu yote Halotel maana hawa ndio gharama zipo nafuu kwa sasa kuliko wote baada ya kufanya tafiti jana .
 
Ndo maana vpn za kuwaibia hazitaisha
Mimi tangu nikope Songesha na mpawa kulipiza kisasi, line yao IPO IPO tu kila siku wanatuma SMS za vitisho.
Najiungiaga AIRTEL SMS za buku kwa mwezi basi vingine napiga chocho matata maisha yanaenda
 
Halotel wameshapandisha
Tigo nao wamepandisha
Nahisi mitandao yote vifurushi vimepanda
 
Back
Top Bottom