Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,831
Wakuu habari,
Juzi nimebakisha salio la kawaida sh. 2000, leo nataka kujiunga kifurushi wananiambia salio halitoshi, naangalia Kuna sh 1900 tu.
Nawapigia Wanasema eti salio limekatwa kwajili ya huduma ya THE BEST wakati sijiungagi na huduma yoyote ya kipuuzi puuzi, yaani hii mitandao ni wezi kumbe.
Sasa hii mia mia wakikatwa wateja milioni mbili tu, si Wana mamilioni ya pesa jamani, yaani wameniharibia mood yangu leo.
BAADA YA KUWAPIGIA WAMENITUMIA MESEJI IYO
👇
Umefanikiwa kujiondoa kwenye huduma ya THE BEST. Kujisajili tena piga *149*75#
Juzi nimebakisha salio la kawaida sh. 2000, leo nataka kujiunga kifurushi wananiambia salio halitoshi, naangalia Kuna sh 1900 tu.
Nawapigia Wanasema eti salio limekatwa kwajili ya huduma ya THE BEST wakati sijiungagi na huduma yoyote ya kipuuzi puuzi, yaani hii mitandao ni wezi kumbe.
Sasa hii mia mia wakikatwa wateja milioni mbili tu, si Wana mamilioni ya pesa jamani, yaani wameniharibia mood yangu leo.
BAADA YA KUWAPIGIA WAMENITUMIA MESEJI IYO
👇
Umefanikiwa kujiondoa kwenye huduma ya THE BEST. Kujisajili tena piga *149*75#