Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 100
Nasikia kulikua na mpango wa kuwauzia wafanyakazi wa Vodacom zile voda shops, ni wafanyakazi pekee ndio waliotakiwa kuzinunua.
sasa nasikia huyu Rais wa Monduli (EL) kachukua voda shops za morogoro zote. je nayeye ni mfanyakazi wa vodacom?
walioko vodacom watujuze zaidi
Si kweli kwamba zile vodashops zinauziwa kwa wafanyakazi wa vodacom tuu.
Zinauzwa kwa mwananchi yeyote tuu, miye jamaa yangu wa karibu hafanyi kazi voda lakini amenunua.
Na ninavyojua miye Morogoro kuna vodashop moja tuu sasa mtoa mada anaposema EL amenunua Voda shops zote za Morogoro, Mh sielewi!!
Si kweli kwamba zile vodashops zinauziwa kwa wafanyakazi wa vodacom tuu.
Zinauzwa kwa mwananchi yeyote tuu, miye jamaa yangu wa karibu hafanyi kazi voda lakini amenunua.
Na ninavyojua miye Morogoro kuna vodashop moja tuu sasa mtoa mada anaposema EL amenunua Voda shops zote za Morogoro, Mh sielewi!!
Si kweli kwamba zile vodashops zinauziwa kwa wafanyakazi wa vodacom tuu.
Zinauzwa kwa mwananchi yeyote tuu, miye jamaa yangu wa karibu hafanyi kazi voda lakini amenunua.
Na ninavyojua miye Morogoro kuna vodashop moja tuu sasa mtoa mada anaposema EL amenunua Voda shops zote za Morogoro, Mh sielewi!!
Mh LEma ana kazi
Nasikia kulikua na mpango wa kuwauzia wafanyakazi wa Vodacom zile voda shops, ni wafanyakazi pekee ndio waliotakiwa kuzinunua.
sasa nasikia huyu Rais wa Monduli (EL) kachukua voda shops za morogoro zote. je nayeye ni mfanyakazi wa vodacom?
walioko vodacom watujuze zaidi
Wanajamii naomba mnijuze. Hivi isue kama hizi huwa zinatangazwa wapi? manake hata mimi ningetamani kumiliki vodashop.
Hii nimeikuta sehemu
Re: CCM yatapatapa; Masha asema chama kimemeguka
Originally Posted by nngu007
Tume hiyo ya vijana inaundwa na Riziki Pembe ambaye ni mjumbe toka UVCCM Zanzibar, Fadhili Njagilo mwenyekiti vijana Iringa, Hussein Bashe, mjumbe bara ambaye pia ni mwenyekiti wa tume hiyo, Rogas Shemwelekwa mjumbe UVCCM Tanga, Daud Smail toka UVCCM Zanzibar, Ashura Shengondo toka UVCCM bara na Anthon Mavunde mjumbe toka UVCCM bara.
Waislamu wa5.
Makafir wa2
kweli BAKWATA ni TAWI mama la CCM