Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 100
Nasikia kulikua na mpango wa kuwauzia wafanyakazi wa Vodacom zile voda shops, ni wafanyakazi pekee ndio waliotakiwa kuzinunua.
sasa nasikia EL kachukua voda shops za morogoro zote. je ni kweli
sasa nasikia EL kachukua voda shops za morogoro zote. je ni kweli
