Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa tag kama wako huku wakujibu ama nenda kwenye official pages zao za Facebook wa inbox tatizo lako ukiambatanisha na namba zakoYaani natumia mb za kudunduliza kwasababu tu vodacom wamegoma kunipa bando langu la mb. Shida ni nini?
Nisaidie kufanya hivyo. Mi sina account huko fb, labda twiter.Wa tag kama wako huku wakujibu ama nenda kwenye official pages zao za Facebook wa inbox tatizo lako ukiambatanisha na namba zako
Wacheki huko huko Twitter watakujibu!Nisaidie kufanya hivyo. Mi sina account huko fb, labda twiter.
Na ujue siku hizi wanasingia tatizo la internet
Ukiwacheki watakwambia shida ni internetMnamo tarehe 17 mei, nilijiunga bando la uni-combo data ya mb 1126, badala yake vodacom wamenipa dakika bila mb.
Nimewapigia lakini hakuna walichofanya zaidi ya kunipa tu matumaini. Kuna shida gani? Je, huu ni wizi, utapeli au hitilafu?
Tumia akili broMnamo tarehe 17 mei, nilijiunga bando la uni-combo data ya mb 1126, badala yake vodacom wamenipa dakika bila mb.
Nimewapigia lakini hakuna walichofanya zaidi ya kunipa tu matumaini. Kuna shida gani? Je, huu ni wizi, utapeli au hitilafu?