Vodacom kwa nini mnatufanyia hivi?

Mwananjengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
316
Reaction score
100
Tukiwa tunapiga cm kwenda kwa ndgu zetu waliko nchini Uganda wakipokea cm walikuwa hawachajiwi,ila sasa ngoma imebadilika makato alafu yanakuwa makubwa zaidi ya yule aliyepiga.Aliyepigiwa gharama yakupekea cn ndo kubwa zaidi ya aliyepiga.Hapa nashindwa kuelewa yani anayepokea ana chajiwa zaidi ya aliyepiga! Hebu mtu wa voda aje aeleze hapa hili jambo likoje na ndo hvyo ndgu zetu wasahau voda wakiwa uganda au kuna marekebisho.
 
Kweli, yan ukitaka kumpigia mtu Uganda Vodacom mpaka umtumie na vocha
 
Hawa voda co me ntawaama co uganda wala nairobi ata tanzania,na hyo huduma yao ya namba 1 unajiunga wanakata hela,ukisha anza kuongea wanakata salio.
 
kuna aina nyingi tu za mawasiliano kama vile emails,facebook lakini mmeng'ang'ania simu.maisha yalivyo ghali usipo kuwa mjanja utafulia ile mbaya. usiku kuna free internet unaweza ukatumumia muda huo kucheki emails pamoja na kuzijibu.
 
Kwani mtandao ni mmoja kama zamani? Hameni!
 
Voda ni wezi sana hata cheka time ni upumbavu mtupu wanakata dakika kakijifanya umezitumia zimekwisha, hawa jamaa wanatuona cc mazuzu! alafu wanatusumbua sana na sms zao za matangazo yaan inbox yote inajaa sms zao za kipuuzi, alafu wamatudanganya kama watoto mara usopoteze nyongeza yako kwa kuweka salio la elfu 7 upate mara 2, au wakwambie no. Yako imechaguliwa kupatailipm 100 ! Daaaah hawa jamaa wezi jaman yaan hata ukinunua luku kwa m pesa mtandao ukisumbua kidogo na pesa ikawa eondoka ujue washakupiga ivyo coz ukiwapigia watakupa blabla za kusubir had uchoke uwaachie pesa! Me mshafanya uamuz nimehamia zangu naniliiiiiiiiiii!
 
@ mayome unayosema kweli voda wezi sijawahi kujiunga na huduma za caller tone wananiunganisha kila nkiweka salio likiisha salio wanatuma sms eti huna salio la kutosha hatuwez kukuunganis ha na huduma za callertone ,ni wizi mtupu sijawahi kujiunga hatasiku moja
 
Kiukweli hawa jamaa sio. Juzi nilinunua vocha kwa bahati mbaya iliingia kwenye maji kilichotokea ni kwamba namba zote zilifutika. Nilipowapigia huduma kwa wateja muhudumu wakwanza aliniambia aliniambia nimtajie sirio namba chakushangaza eti ananiambia vocha imeshatumika. Sasa nani katumia wakati ndani nilikua mwenyewe? Niliamua kuwapigia tena kwa mara ya pili muhudumu mwingine akaniambia kwamba hiyo vocha haitawezekana tena kutumia. Sasa wandugu! kwanini maji ifute namba za vocha? Pili kwa nini kauli za wahudumu zipishane? Kiukweli nilimind sana maana siyo credit ndogo.
 
situmii simu nikiwa tz, mitandao yao ni wangese kweli wanatia hasira sana kwenye so called customer care.
 
Voda wehu nshahama nipo zantel kila mwz napata 50mb bure hata kama siweki vocha nauhakika na mb 50 zangu.byby voda
 
airtel vry cheap na hawakati salio ovyo! Hamia airtel!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…