Vodacom M-Pesa: Tunasherehekea miaka kumi ya kubadilisha maisha ya Watanzania

unyonyaji ili wao waendelee kujipongeza till nilitupa kitambo nadeal na voda faster
Yaani nawekaga float basii tu nisikimbize wateja wangu ila tigo hadi raha yaani ananifanya hadi nasahau machungu ya voda kwa mwezi huwa inagonga hadi karibu na M huko nashangaa hawa jamaaa inakuwaje kwao wakati napata wateja????! Nikagundua commision ni kiduchu kwelii
 
unyonyaji ili wao waendelee kujipongeza till nilitupa kitambo nadeal na voda faster
Yaani nawekaga float basii tu nisikimbize wateja wangu ila tigo hadi raha yaani ananifanya hadi nasahau machungu ya voda kwa mwezi huwa inagonga hadi karibu na M huko nashangaa hawa jamaaa inakuwaje kwao??! wakati napata wateja????! Nikagundua commision ni kiduchu kwelii
 
Nawakubali hapa tu,,[emoji122] [emoji122] [emoji122]

Kwingine kote hamna kitu
 
You derseve. Hongereni
 
Mimi baada ya kunipunguzia yakwakotu nimehama sinunui tena mb kwenu labda mkirudisha.
 
 
Voda kwanini mnatudanganya wateja wenu, yaani Mnatangazo lenu kuwa ukinunua kifurushi cha Elfu moja unaperuzi bure Instagram.. Lakini ni uongo mtupu.. Kwanini mtudanganye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…