Vodacom M-Pesa: Tunasherehekea miaka kumi ya kubadilisha maisha ya Watanzania

Vodacom M-Pesa: Tunasherehekea miaka kumi ya kubadilisha maisha ya Watanzania

unyonyaji ili wao waendelee kujipongeza till nilitupa kitambo nadeal na voda faster
Yaani nawekaga float basii tu nisikimbize wateja wangu ila tigo hadi raha yaani ananifanya hadi nasahau machungu ya voda kwa mwezi huwa inagonga hadi karibu na M huko nashangaa hawa jamaaa inakuwaje kwao wakati napata wateja????! Nikagundua commision ni kiduchu kwelii
 
unyonyaji ili wao waendelee kujipongeza till nilitupa kitambo nadeal na voda faster
Yaani nawekaga float basii tu nisikimbize wateja wangu ila tigo hadi raha yaani ananifanya hadi nasahau machungu ya voda kwa mwezi huwa inagonga hadi karibu na M huko nashangaa hawa jamaaa inakuwaje kwao??! wakati napata wateja????! Nikagundua commision ni kiduchu kwelii
 
Nawakubali hapa tu,,[emoji122] [emoji122] [emoji122]

Kwingine kote hamna kitu
Screenshot_20180528-180317.jpg
 
Vodacom Tanzania PLC imetimiza miaka kumi tangu kuzinduliwa kwa huduma ya M-Pesa. Kwa miaka hiyo kumi, Vodacom M-Pesa imejikita kwenye kutoa huduma mbali mbali kama kulipia huduma na bidhaa, huduma za kibenki, kuweka na kukopa pesa, kutuma pesa nje ya nchi na huduma nyingine nyingi. Huduma hizo zote zinapatikana kwa njia rahisi sana ya huduma ya pesa kwa njia ya mtandao ambayo ilikuwepo tangu mwanzoni.
Vodacom M-Pesa inaongoza Tanzania kwa huduma za kifedha za mtandao kwa makampuni ya simu za mkononi kwa asilimia 42 huku ikiwa na watumiaji hai 8.2 milioni, mawakala 106,000, wafanyabiashara wakubwa zaidi ya 2,000 wafanyabiashara wadogo 15,000 na benki 30 ambao zimeunganisha kwenye mtandao wa Vodacom M-Pesa. Kwa mtandao mpana na imara, M-Pesa imeweza kutoa huduma kwa Watanzania vijijini na mijini ambapo wameweza kutumia huduma halali ya kifedha na kusababisha kukua kwa uchumi wa Taifa kutoka 58% 2013 na 44% 2009 hadi 65% kwa mwaka 2017.View attachment 789681
You derseve. Hongereni
 
Mimi baada ya kunipunguzia yakwakotu nimehama sinunui tena mb kwenu labda mkirudisha.
 
Vodacom Tanzania PLC imetimiza miaka kumi tangu kuzinduliwa kwa huduma ya M-Pesa. Kwa miaka hiyo kumi, Vodacom M-Pesa imejikita kwenye kutoa huduma mbali mbali kama kulipia huduma na bidhaa, huduma za kibenki, kuweka na kukopa pesa, kutuma pesa nje ya nchi na huduma nyingine nyingi. Huduma hizo zote zinapatikana kwa njia rahisi sana ya huduma ya pesa kwa njia ya mtandao ambayo ilikuwepo tangu mwanzoni.
Vodacom M-Pesa inaongoza Tanzania kwa huduma za kifedha za mtandao kwa makampuni ya simu za mkononi kwa asilimia 42 huku ikiwa na watumiaji hai 8.2 milioni, mawakala 106,000, wafanyabiashara wakubwa zaidi ya 2,000 wafanyabiashara wadogo 15,000 na benki 30 ambao zimeunganisha kwenye mtandao wa Vodacom M-Pesa. mwaka 2017.View attachment 7896
 
Voda kwanini mnatudanganya wateja wenu, yaani Mnatangazo lenu kuwa ukinunua kifurushi cha Elfu moja unaperuzi bure Instagram.. Lakini ni uongo mtupu.. Kwanini mtudanganye
 
Back
Top Bottom