Amanijua
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,776
- 1,619
Jamani ni almost a week now nasikia tangazo la M-PAWA kutoka vodacom na kila nikijaribu kulifuatilia nashindwa kulielewa kiufasaha.
Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa kutosha maana wanasema mtu anaweza kupata mikopo midogo midogo kwa ajili ya ujasiriamali kupitia line yako.
Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa kutosha maana wanasema mtu anaweza kupata mikopo midogo midogo kwa ajili ya ujasiriamali kupitia line yako.