kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
kiukweli hawa jamaa wa ero link wanajitahidi sana kutafutia watu kazi huko voda,ila jamani mshara ni mdooooogooo mbaya yaani ni mdogo kwa mtu mwenye degree yake!maendeleo yataletwa na sisi wenyewe ila kwa hili la ero link ni ngumu