Vodacom Igeni wenzenu wa tigo....kwa kuboresho meseji za mrejesho wa Mpesa
1. Mtu akipokea fedha meseji ioneshe jina namba ya simu iliyotuma. Now haionshi INABOA KAMA NINI
5CI818P5BPX Confirmed.
on 18/3/18 at 12:02 PM
Give Tsh103,500.00 cash to IBRAHIM ADAM SANGALI
New M-Pesa balance is TshXXXXX.10.
2. Mtu akituma hela semeni makato mekata bei gani na VAT bei gani?
Mnashindwa kuwa WABUNIFU hata kuiga nako shida?