Vodacom naenda mahakamani

Kwenye spidi ya internet utakuwa unawaonea. Ndio yenye spidi kuliko mitandao yote. Hilo la kuiba mb
Kila mtandao unaspidi hapa mjini ni wewe
 
mitandao ya TZ yote inaibia raia YOTE
 
Sema kwa kupeleka malalamiko hakupo lakini hawa voda ni wezi sana tena mchana kweupe .
 
Mwenda mahakamani haji humu, unadhani wanaogopa kutishiwa nyau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…