lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,741
Za mchana huu wadau..pamoja na sifa walizonazo lakini pia Mna sifa ya wizi kwa Wateja wenu
Kisa ni hiki; asubuhi kaja mteja dukani kwangu akataka nimuweke vocha na nimuunganishie kifurushi..nikaweka vocha,Mara ya kwanza nikajibiwa kuna tatizo nijaribu baadaye,nikaweka tena nikajibiwa vicha haipo,nikweka kwa Mara ya tatu nikajibiwa imetumika kwenye namba inayoishia namba ya mteja yule ninayemuwekea, nikanunua kifurushi.nikajibiwa sina Salio lakutosha,kuangalia Salio ni 0.25 kuwapigia Huduma kwa Wateja wakasema nikweli vocha imeingia lakini imetumika ila record haionekani,mteja wangu anadai hana deni,hajajiunga ni Huduma yoyote sasa iweje vocha yake itumike..mteja akaanza kunifokea Mimi nakuhisi Mimi ndio nimeitumia vibaya au nimemuibia....
Kisa cha pili, huwa naweka Salio bila kujiunga kifurushi cha ajabu ikipita Siku bila Kujiunga huwa nakuta Salio limekatwa tayari na kuniingiza hasara tens..
Nilifikili ni mimi tu,nimemuuliza mdogo wangu naye anasema huwa anakuta Salio limepungua sh.5 bila matumizi
YAANI VODA NASEMA HUO NI WIZI KAMA ULIVYO WIZI MWINGINE NA MNAKERA SANA
Kisa ni hiki; asubuhi kaja mteja dukani kwangu akataka nimuweke vocha na nimuunganishie kifurushi..nikaweka vocha,Mara ya kwanza nikajibiwa kuna tatizo nijaribu baadaye,nikaweka tena nikajibiwa vicha haipo,nikweka kwa Mara ya tatu nikajibiwa imetumika kwenye namba inayoishia namba ya mteja yule ninayemuwekea, nikanunua kifurushi.nikajibiwa sina Salio lakutosha,kuangalia Salio ni 0.25 kuwapigia Huduma kwa Wateja wakasema nikweli vocha imeingia lakini imetumika ila record haionekani,mteja wangu anadai hana deni,hajajiunga ni Huduma yoyote sasa iweje vocha yake itumike..mteja akaanza kunifokea Mimi nakuhisi Mimi ndio nimeitumia vibaya au nimemuibia....
Kisa cha pili, huwa naweka Salio bila kujiunga kifurushi cha ajabu ikipita Siku bila Kujiunga huwa nakuta Salio limekatwa tayari na kuniingiza hasara tens..
Nilifikili ni mimi tu,nimemuuliza mdogo wangu naye anasema huwa anakuta Salio limepungua sh.5 bila matumizi
YAANI VODA NASEMA HUO NI WIZI KAMA ULIVYO WIZI MWINGINE NA MNAKERA SANA