Yaani sometime wanatuma msg eti bado mb 150, unaamua kuzimansata na kusign out insta kupunguza matumizi. The ushazima.data unaambia kifurushi kimeisha
[emoji90]hujaambiwa "tunaona hapa ndugu mteja uliingia kwenye internet"[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Acha walalamike. Wakati wamesett app zao ziji update automatically wanapofungua data .jamani msisahau google photo kama umeweka backups ukiunga mb tu ina upload picha,so bundle linayoyoma tu.
Una majibu ya kicustomer care wa tigo wewe.Acha walalamike. Wakati wamesett app zao ziji update automatically wanapofungua data .
😂😂 inawezekana ukazianglia hizo movie ukiwa offline??? Uwizi uliokubuhu🤗🤗Utakua unaangalia X movies hahahahaha kidding. Serikali ya CCM kimyaaaaaaa
Hujawahi kutumia simu za 4g wewe, ukifunga data 4g inasimama kwenye mtandao bila kucheza but ukifungua data ndipo 4g inaanzs kupanda na kushuka. Najua hujawah kuzitumia ndio maana umeshangaa. Ukiangalia hiyo 4g imesimama tu kwenye mtandao, tafsiri yake ni data zipo off mkuu. Hope umenielewa.Umefungaje data na mtandao unasoma 4g
Nikisimamisha data hata hizo ma4g hazisomi. Nawajaribu voda hapa nimenunua cha 550MB nataka nibrowse tu jamiiforum, watsapp nione nitadumu kwa muda gani.Hujawahi kutumia simu za 4g wewe, ukifunga data 4g inasimama kwenye mtandao bila kucheza but ukifungua data ndipo 4g inaanzs kupanda na kushuka. Najua hujawah kuzitumia ndio maana umeshangaa. Ukiangalia hiyo 4g imesimama tu kwenye mtandao, tafsiri yake ni data zipo off mkuu. Hope umenielewa.
Tangu Vodacom Tanzania wapunguze Bundle wamekuwa na tabia ya kutokutuma ujumbe wa kiasi cha bundle ulichonunua, thamani yake na muda wa matumizi! Nimejaribu kuwasiliana nao bila mafanikio.
Jana nikajiunga tena na bundle ya week ya Tzs 3,000 ila sijapokea SMS tena inayoosha thamani, kiwango na muda wa matumizi. Kwa bahati mbaya sana mchana huu wananiambia kifurushi kimeisha!
Na Jana muda mwingi SAna nilikua offline. Kimetokea nini? Nimenunua tena mchana huu issue iko pale pale.
Na hii niliwahi experience Mara kadhaa huko nyuma. Ukinunua kifurushi halafu hupati SMS alert basi ujue hio bundle haina uhai mwingi.
Ukiwapigia ukabahatika kuwapata, sana majibu ya kukaririshwa mno! Hawanaga msaada wowote.
Anyway, nimenunua tena wacha tuendelee kunyanyaswa.
Sawa mfanyakazi wa voda.Angalia Kuna apps itakuwa zinakula data hata kama haujazifungua usiwalalamikie Voda check your phone pia punguza mi application ambayo unaona haina kazi.. halafu usikute umeweka 4G unakuja kulalamika huku unafikiri 4G inakula pipi ndugu..? Ile inatafuna mb haswaa..[emoji23]
Dah! Sawa mi mwizi na mimi ni mfanyakazi wa Vodacom..😅Sawa mfanyakazi wa voda.
Lakini mwenzio nilimpigia simu nikamuuliza nimejiunga saa ngapi akasema saa 1na dakika 47.
nikamwambia baada ya kufungua data nikaingia jf nikafunga data nikalala saa 9 usiku naamka nafungua data naingia Instagram dakika 3 nyingi mnanitumia meseji data zimeisha.MB 550 zimeishaje?
Akaanza kujiuma uma
Nikamwambia nyie ni wezi,tena majambazi na waambie na mabosi zako "MBWA NYIE"
nikakata simu.
NARUDI HALOTEL
Asante sanaaaKaribu mkuu
Lugha ya malkia Mimi siiweziiii [emoji1787]I know this night is weighing heavy on your heart
You're beaten and broken and the World seems so dark
You never thought that you could ever fall so hard
But you're not as alone as you think you are
Mama said "Don't worry where the Sun is gone,
You can't see it shining when everything feels wrong;
Don't you know your darkest hour's only 60-minutes long...
And tomorrow's on its way."
Mama said, "Don't give up today."
I know you're lost, can't see the light
But the brightest Stars need the darkest night
This storm will pass if you hold on tight
A new day is waiting on the other side
Hold Hold Hold Hold Hold on
Don't you know the darkest hours
Coming just before the dawn
And tomorrow's already on its way
Mama said, "Don't give up today!"
Sometimes it's hard to see anyway out
The weight of this World keeps on dragging you down
So tired and lonely you can't carry that load
But there's a light inside that's going to carry you home
Mama said "Don't worry where the Sun is gone,
You can't see it shining when everything feels wrong;
Don't you know your darkest hour's only 60-minutes long...
And tomorrow's on its way."
Mama said "Don't worry where the Sun is gone,
You can't see it shining when everything feels wrong;
Don't you know your darkest hour's only 60-minutes long...
And tomorrow's on its way...
There is purpose in your pain."
Mama said, "Don't give up today."
Ahahah sehemu ya kutulia ni Halotel. Mb zao unadumu nazo muda mrefu. Lkn mtandao utajua mwenyewe pa kuupata. Bs shida tupuNanunuaga ya 2000 GB 1.5 kwa siku tatu lakini simalizi siku2 imakekata. Masaa24 mengi ikizidi sana 28. Nilikuwa halotel nkaenda voda.. Nimetua airtel . sa sijui tukimbilie wapi
Ili nalo Lina ukweliAngalia Kuna apps itakuwa zinakula data hata kama haujazifungua usiwalalamikie Voda check your phone pia punguza mi application ambayo unaona haina kazi.. halafu usikute umeweka 4G unakuja kulalamika huku unafikiri 4G inakula pipi ndugu..? Ile inatafuna mb haswaa..[emoji23]